Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Kulikoni mbona umeongea kwa kukata tamaa sana. Wenye upeo huko mlipaswa kuwa mmeshatoka tangu 2015
 
Membe hana kura ccm bwana. Zaidi membe anaenda kumalizia pale lowasa alipobakiza
 
Kwahiyo uhalisia wa sasa, ni kuwa wananchi watamnyima kura Lissu kwasababu amepatiwa ulemavu na watawala!?
Nilisikia watu kadhaa nawafahamu wakasema Walijiandaa sana kumpa kura Lowasa ila baada ya kumuona akitembea na kuongea kwa tabu wakampa Magu.

Lisu aje aonekane akitembea hata hatua mia utagundua ni shida kumuuza na CCM wana roho mbaya watamkejeli kwa namna nyingi. Lisu atulie amsapoti Membe . Kusini wana misimamo sana wakiamua uchaguzi utakua mgumu kwa ccm.


Chadema wakimkosa Membe watabakia maeneo machache kaskazini na itakua rahisi kuwabana.Wanaweza wasipate wabumge 5
 
The common fear among oposition members is it could be the tactic of the ruling party to balance the votes in the election!!Membe is still a ccm in his mind and there is no official letter to deny his membership !!!
 

I hope this is just another story. Kama ni kweli, wanachekesha sana. CDM wanajaza mazungumzo kwenye mitandao and yet hawana chochote cha ku offer. Wanasubiri drop out wa CCM. Kweli wako serious?
 
Lete swahili version mataga waelewe kinachoendelea
 
MATAGA naona mnajitungia tungia tu vijistori vyenu. Hicho kigazeti chenu cha "Tanzania Perspective" habari zake tunazo. Ni kijarida cha hovyo tuu.

Chadema tunajua mwaka 2015 tulikosea wapi ingawa faida ilikuwa upande wetu. Hivyo puuzeni uzushi wote unaotolewa na MATAGA.

Membe yupo Rondo huko, Mbowe yupo Dar. Membe hajapewa kadi ya Chadema na mchakato wa uchukuaji fomu za kuomba kuchaguliwa unaendelea. Nyie endeleeni kuota ndoto za mchana.
 
Na

Nauona mpasuko...wa DHAHIRI shahiri....Membe akikubaliwa tu CDM....
Mh.Lowassa alibadili upepo kwa "kuwalambisha watu MPUNGA"

Yaani mh.Membe akubaliwe tu kiyaheyahe....kwa ASSET ipi anayokuja nayo CDM?!??

Mhhh nahisi harufu ya ANKARA ANKARA ANKARA ANKARA....
"ya jasiri haachi asili..."
 
Chadema Fan ,Bawacha and Bavicha should trust Mr Mbowe on this!

Mbowe knows well how to do this business He has experience!

Good Job Kamanda Mbowe!

Peoples Poweeeeee
 
Kumekucha
Mwaka Huu Usiishe Bila Kutenda Miujiza
 

Why your so afraid! Membe is Good leader we should trust our chair man!
 
Yeaa
The common fear among oposition members is it could be the tactic of the ruling party to balance the votes in the election!!Membe is still a ccm in his mind and there is no official letter to deny his membership !!!

He has already admitted writting an official letter to CCM....
 
Hahahaaaa........ Mkataba umeshafungwa bwashee!

Siasa ni sayansi!
 
Ha ha ha ha yaani maneno yako NDIVYO yatakavyokuwa pale Mbowe atakapokuwa anawaburuza wenzake wamkubali Membe....ANKARA ANKARA ANKARA ANKARA ANKARA
Chadema Fan ,Bawacha and Bavicha should trust Mr Mbowe on this!

Mbowe knows well how to do this business He has experience!

Good Job Kamanda Mbowe!

Peoples Poweeeeee
 
Naunga mkono,Membe akigombea CHADEMA na kuungwa mkono na ACT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…