Mpiga kura ndio Nani unachangia shilingi ngapi uendeshaji Chadema lofa wewe? Kaanzishe chako lakini kuleta za kuleta Chadema sahau.Nakupa ushauri wa bure usije umia kwa usilolijua ambalo kwako Ni usiku wa Giza
...awekwe bench la ufundi na fitina kumng'oa jiwe,ila sio kuwa mgombea wa urais.
Why your so afraid! Membe is Good leader we should trust our chair man!
Mimi naamini CCM wamegundua njia ya kuwavuruga upinzani ni kuweka pandikizi lao, kama ilivyokuwa 2015 na Lowassa, mwaka huu ni Membe.Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.
CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.
Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Nilisikia watu kadhaa nawafahamu wakasema Walijiandaa sana kumpa kura Lowasa ila baada ya kumuona akitembea na kuongea kwa tabu wakampa Magu.
Lisu aje aonekane akitembea hata hatua mia utagundua ni shida kumuuza na CCM wana roho mbaya watamkejeli kwa namna nyingi. Lisu atulie amsapoti Membe . Kusini wana misimamo sana wakiamua uchaguzi utakua mgumu kwa ccm.
Chadema wakimkosa Membe watabakia maeneo machache kaskazini na itakua rahisi kuwabana.Wanaweza wasipate wabumge 5
Mkuu wewe siasa zitakuua,relax,chadema inawenyewe,wewe mwenyewe umekimbilia huko baada ya kutumbuliwa na JPM, sasa mbona wamuonea gele mh.membe?Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.
CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.
Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Kama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.
CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.
Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
waambie!MATAGA naona mnajitungia tungia tu vijistori vyenu. Hicho kigazeti chenu cha "Tanzania Perspective" habari zake tunazo. Ni kijarida cha hovyo tuu.
Chadema tunajua mwaka 2015 tulikosea wapi ingawa faida ilikuwa upande wetu. Hivyo puuzeni uzushi wote unaotolewa na MATAGA.
Membe yupo Rondo huko, Mbowe yupo Dar. Membe hajapewa kadi ya Chadema na mchakato wa uchukuaji fomu za kuomba kuchaguliwa unaendelea. Nyie endeleeni kuota ndoto za mchana.
Sawa Membe kwa Lisu kuna matatizo mengi nina wasiwasi akija. Watakavyo mpokea kuna kuruka dhamana,kumficha dereva,sijui nini na nini
Mie ni mmojawapo ntakayejiondoa CDMKama haya ni ya kweli,sitashangaa kuona baadhi ya watu wakijiondoa CHADEMA unless wanakubaliana bila wengine kuwa vinyongo.
CHADEMA na wapinzani kwa ujumla,waangalie wananchi wanamtaka nani na si wao wanamtaka nani.
Wasisahau siasa za hamahama na yaliyofanywa na Lowassa bado yako katika fikra za watu ingawa kweli Membe anaweza asiwe kama Lowassa na kina Sumaye na wengineo, ila tatizo ni wananchi watamuamini Membe?
Pole Mkuu... Hakika hili limekuuma kwelikweli.
Kumbuka Lissu harudi lakini.
Na
Nauona mpasuko...wa DHAHIRI shahiri....Membe akikubaliwa tu CDM....
Mh.Lowassa alibadili upepo kwa "kuwalambisha watu MPUNGA"
Yaani mh.Membe akubaliwe tu kiyaheyahe....kwa ASSET ipi anayokuja nayo CDM?!??
Mhhh nahisi harufu ya ANKARA ANKARA ANKARA ANKARA....
"ya jasiri haachi asili..."
Mhh!!?? Hichi kiluga ni cha msomi tena ni muajiriwaFormer Foreign Minister ,Top Diplomat and retired Senior Spy meets CHADEMA top officials at Dar es Salaam aimed #Election2020 discussion.
The event followed by former Membe (former CCM cadre) who recently returned his Membership Card of the very powerful and influential party in Africa as its roots originate from back to Freedom fighting era.
Sources close to both parties told that CDM want to deploy Bernard Membe due to his popularity as makeshift towards resurrection of the party due to recently internal crisis. The same strategy used 2015 Election to maximize the number of parliamentary seats has been backed by member of the floor, as they face a very stiff competition from President Magufuli who is admired by many in the world.
According to reports CHADEMA Senior figures have made clear that the odds of becoming presidential candidate are against Tundu Lissu and he is too predictable to use 2017 gunshot as @2020Election main strategy to seek public sympathy.
Until late night the members were yet to agree to line up Bernard Membe in 2020 Election due to large divided opinions as many feared not to repeat 2015 blunder Some told Mr. Membe to wait until 2025 but it has been seen so far Membe wont abide any delays.
The meeting Chaired by most influential man in the Party Mr. Freeman Mbowe who has been publicly criticized by outsourcing Former Prime Minister in 2015 Election.
Troll JF
Master of Political Science chief , anyway singependa kuzungumzia sana elimu huenda una elimu kubwa lakini si ya siasa.Uliwasikia watu kadhaa wakisema, Lowassa alikuwa mgonjwa. Lissu ni suala tofauti, yeye kapigwa risasi na watu wengi wanajua nini kiliendelea. Mimi nimewasikia watu kadhaa wakisema jiwe ni dictator, hivyo ccm wamchague mama Samia maana si dictator. Kwa hizi hoja zako si vibaya nikijua uko kidato cha ngapi.
Hata asiporudi, lakini sio Membe.