LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,006
- 14,536
CHADEMA CHADEMA, CHADEMA,,,
Kuweni makini, msifuate mkumbo, mwacheni Membe haja wasaidia kukijenga chama, wakati mna pambana kuimarisha chama wao walikuwa wana wazomea na Chama chao. Leo wamemtemaanajiona lulu kuja upinzani kujitafutia maslahi?
Kwani kati yenu hakuna anae weza kupeperusha bendera ya Chama? Mbona mko wengi? Membe hana faida yoyote kwenu ni mbomoaji.. Achaneni nae..
Kuweni makini, msifuate mkumbo, mwacheni Membe haja wasaidia kukijenga chama, wakati mna pambana kuimarisha chama wao walikuwa wana wazomea na Chama chao. Leo wamemtemaanajiona lulu kuja upinzani kujitafutia maslahi?
Kwani kati yenu hakuna anae weza kupeperusha bendera ya Chama? Mbona mko wengi? Membe hana faida yoyote kwenu ni mbomoaji.. Achaneni nae..