myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Hao ndio ilikuwa nguzo ya chama, pengine mpaka sasa................
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewaona waganga wa miti shamba waliotangulia Dodoma lakini?!Ya Kolimba yaja tena?
Hata Membe anajua kuwa ninyi si chadema
Bwashee mimi nimenukuu gazeti tu!Mbona johnthebaptist una haraka sana na mahojiano? naona nyie mna maswali mepesi, ila hao jamaa wakiwageuka wakawahoji nyie mtakoma, sijui km mna ubavu wa kujibu hata swali lao moja!.
Sent using Jamii Forums mobile app
hautanielewa nilichokisema nimemaanisha nini chadema ni watawala?Kama Chadema ndio waliofanya huo udhalimu.Mbona walipolishauri Bunge Na Serikali kuleta Wachunguzi wa kimataifa Scotland Yard,Serikali Na Bunge walikataa? Argue logically stupid
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimlinganishe Membe na vitu vya kijinga.Anamzidi Kangi Lugola?!
Umeshaanza kuhamisha magoli.Wewe unadhani mzee Membe atafua dafu mbele ya mjumbe wa Tume ya Katiba mpya komredi Polepole?!
Umeona like yangu huko?Zitapigwa blah blah... Halafu mwishowe tutaambiwa kwa ajili ya afya na umoja wa chama wameamua kusameheana
Jr[emoji769]
Waliomkolimba Kolimba walikuwa Chadema? Maccm mnatumia viungo gani kufikiri?
Aiseee! Ngoja na mi nicheke 🤣 ...!!Membe mkajiangalie baada ya kumuhoji yeye ndie ataanza kuwahoji mana kamati nzima hakuna wa kumzidi akili mule
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona like yangu huko?
Maji ndiyo kwaanza yanakorogeka.Kamati ndogo ya nidhamu ya CCM inayoongozwa na mzee Mangulla kesho tarehe 06/02/2020 itawahoji viongozi wastaafu mzee Kinana, mzee Makamba na mzee Membe juu ya tuhuma za utovu wa nidhamu zinazowakabili.
Chanzo: Mtanzania
CHADEMA yupo Nyalandu.Atakua mgombea uraisi wa chadema, akimalizana vizuri na Mbowe.