Ni vibaya sana kupotosha kwa makusudi kwa maslahi yako,leta clip akiongeaMkuu umesahau..... Aliongea Tundu akasema serikali isiingilie mambo ya mapenzi ya jinsia moja
Nadhani wanataka uhuru na haki ya wanaume kuoana na wanawake kuoana
Hiyo laana haitatendwa na Tanzania hii. Wayapeleke hukohuko walikoyatoa
Huyo hapo rais wenuNi vibaya sana kupotosha kwa makusudi kwa maslahi yako,leta clip akiongea
Mkuu umesahau..... Aliongea Tundu akasema serikali isiingilie mambo ya mapenzi ya jinsia moja
Nadhani wanataka uhuru na haki ya wanaume kuoana na wanawake kuoana
Hiyo laana haitatendwa na Tanzania hii. Wayapeleke hukohuko walikoyatoa
Watu wa manyoni walimchora tu mzee baba wenu. Zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya hata Panadol na dripu za maji kupatikana ni shida.Jana aliwaambia wanamanyoni hao wanaowaambia ndege zisinunuliwe sababu nyie hampandi ndege wanawadanganya. Akawaambia madawa yanayotumika yanatoka nje ya nchi, sasa wanataka tutumie bodaboda kuyafata???
Wananchi wakashangilia sana baada kapata elimu ya umuhimu wa ndege
Watanzania wanajua kisa cha babu sea vizuri sana na Rais Magufuli kama mmoja wa watanzania nae anajua lile tukio lilivyotengenezwa...mbona Magufuli aliwapokea Babu Seya na Papii Ikulu?
..sote tunajua Babu Seya na Papii walipatikana na hatia ya kulawiti watoto.
..Je, ccm na Magufuli wanaunga mkono mambo hayo machafu ktk jamii?
Huyu jamaa amekurupuka tu ili apambane na MagufuliMembe yupo vizuri sana. Nimeshangaa lissu kuongelea mambo ya zao la pamba kiwanja cha furahisha. Wote waliokua wamejazana pale siamini kama kuna mkulima wa pamba. Nadhani alikua anaongea mwenyewe.
Wengi pale ni jobl
Lissu anayaongelea Sana Tena Sana tu sema hamtaki kumwelewa kwakuwa alipona ile mission yenu ..mbona sisi tunamwelewa?? Lumumba tu ndo hawataki kumwelewaBaada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.
Aliongea kuhusu mazao ya kilimo na changamoto za masoko, wavuvi na changamoto zao, watumishi wa umma na kuporwa mishahara yao kwa lugha rahisi mno. Kwa upande wake Tundu Lissu, ana uwezo mzuri wa kuongea, lakini anaongea kwa jazba, anatumia muda mwingi kuongelea mambo ya haki za binadamu, kumuongelea Dkt. Magufuli na kuongelea jinsi wapinzani walivyofungwa kusumbuliwa na Polisi, alivyopigwa risasi.
Haya mambo hayana impact kubwa kwa wananchi wa kawaida walio wengi. Kwa maoni yangu ajikite kuelezea matatizo yanayogusa watu wote, na jinsi atakavyoyatatua.
Usimwamshe aliyelala.Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.
Aliongea kuhusu mazao ya kilimo na changamoto za masoko, wavuvi na changamoto zao, watumishi wa umma na kuporwa mishahara yao kwa lugha rahisi mno. Kwa upande wake Tundu Lissu, ana uwezo mzuri wa kuongea, lakini anaongea kwa jazba, anatumia muda mwingi kuongelea mambo ya haki za binadamu, kumuongelea Dkt. Magufuli na kuongelea jinsi wapinzani walivyofungwa kusumbuliwa na Polisi, alivyopigwa risasi.
Haya mambo hayana impact kubwa kwa wananchi wa kawaida walio wengi. Kwa maoni yangu ajikite kuelezea matatizo yanayogusa watu wote, na jinsi atakavyoyatatua.
Lisu hana msingi wowoteHayo mambo anayoongelea Lissu ni mambo ya msingi kama we unaona haeleweki basi una shida wewe
Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.
Aliongea kuhusu mazao ya kilimo na changamoto za masoko, wavuvi na changamoto zao, watumishi wa umma na kuporwa mishahara yao kwa lugha rahisi mno. Kwa upande wake Tundu Lissu, ana uwezo mzuri wa kuongea, lakini anaongea kwa jazba, anatumia muda mwingi kuongelea mambo ya haki za binadamu, kumuongelea Dkt. Magufuli na kuongelea jinsi wapinzani walivyofungwa kusumbuliwa na Polisi, alivyopigwa risasi.
Haya mambo hayana impact kubwa kwa wananchi wa kawaida walio wengi. Kwa maoni yangu ajikite kuelezea matatizo yanayogusa watu wote, na jinsi atakavyoyatatua.
Inamaana ACT na chadema wameshindwa kabisa kuungana ?
Basi haingaika na huyo mwenye msingiLisu hana msingi wowote
👍 👍There you are!Kwa hiyo wewe haki za binadamu, watu kuuawa na kupigwa risasi ni mambo ambayo huyaelewi?
Kifupi ni kwamba Ukiwa na akili ndogo Huwezi kumwelewa Lissu
Na ni mkakati mahsusi wa CCM.Membe amekuja kuudhoofisha upinzani.
We ni mgumu kuelewa. Lazima kwanza umfungue mtu macho aone wapi anaonewa, haki zake ni zipi, nani kazipora na kazipora kwa vipi. Kuporwa kwa haki zake kumemleteaje umasikini, tatu alizonazo etc. Then unampa the way forward kuzitatua . Hayo ndiyo anayoyazungumzia Lisu!
Membe nasikia ameongelea matatizo ya watu wake wa kusini! Sijui, sijamsikia mwenyewe lkn nimesoma hapa JF kuwa jana kaongelea matatizo ya kusini Anyay charity begins at home, with time atakwenda mbali zaidi ya kusini!
Tundu Lissu kawshika MATAGA kunako....Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.
Aliongea kuhusu mazao ya kilimo na changamoto za masoko, wavuvi na changamoto zao, watumishi wa umma na kuporwa mishahara yao kwa lugha rahisi mno. Kwa upande wake Tundu Lissu, ana uwezo mzuri wa kuongea, lakini anaongea kwa jazba, anatumia muda mwingi kuongelea mambo ya haki za binadamu, kumuongelea Dkt. Magufuli na kuongelea jinsi wapinzani walivyofungwa kusumbuliwa na Polisi, alivyopigwa risasi.
Haya mambo hayana impact kubwa kwa wananchi wa kawaida walio wengi. Kwa maoni yangu ajikite kuelezea matatizo yanayogusa watu wote, na jinsi atakavyoyatatua.
Nyie muende ubelgiji. Ikulu mtaenda kama mtaitwa😁😁😁
Kwavyovyote vile ubongo wako utakuwa na kamasi nyingi sanaBaada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.
Aliongea kuhusu mazao ya kilimo na changamoto za masoko, wavuvi na changamoto zao, watumishi wa umma na kuporwa mishahara yao kwa lugha rahisi mno. Kwa upande wake Tundu Lissu, ana uwezo mzuri wa kuongea, lakini anaongea kwa jazba, anatumia muda mwingi kuongelea mambo ya haki za binadamu, kumuongelea Dkt. Magufuli na kuongelea jinsi wapinzani walivyofungwa kusumbuliwa na Polisi, alivyopigwa risasi.
Haya mambo hayana impact kubwa kwa wananchi wa kawaida walio wengi. Kwa maoni yangu ajikite kuelezea matatizo yanayogusa watu wote, na jinsi atakavyoyatatua.