Bernard Membe kumbuka wakati hizo maiti unazodai kuokotwa kwenye viroba Rais Samia alikuwa Makamu wa Rais. Na hii bado ni Serikali ya awamu ya tano

Bernard Membe kumbuka wakati hizo maiti unazodai kuokotwa kwenye viroba Rais Samia alikuwa Makamu wa Rais. Na hii bado ni Serikali ya awamu ya tano

Karejee katiba we nguchiro,nchi hii Rais ni alfa na omega
Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.

Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?

Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.

Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?

Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.

Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
 
Siyo kweli,katika serikali iliyopita,ambayo ni ya CCM ile ile amepungua JPM pekee.Timu nzima ni ile ile na ubishi wa Katiba Mpya ni ule ule.

Please, kasomeni katiba inavyosema. Rais akifa Chini ya miaka mitatu, Makamu wa Rais atakuwa Rais na anachukiwa ametumikia awamu moja ya miaka mitano na atabakiza miaka mitano tu mingine ya kuchaguliwa. Ndio maana Mama anasema ni awamu ya sita.

Ingekuwa Magufuli amefariki ndani ya miaka minne au miaka mitatu zaidi. Basi mama Samiah angekuwa Ni Rais wa mpito wa awamu ya Tano.
 
Pale majinga mazee yanapofarijiana
TISS ni wale wale wale, JWTZ ni wale wale, polisi ni wale wale, Waziri mkuu ni yule yule, makamu wa rais ambaye ndiye rais (ondoa tu neno Makamu ili iwe rais) ni yule yule. Kwa hiyo nadhani Mh. Membe ana matatizo binafsi na serikali ya Mama Samia, ni mnafiki maana kaongea hivyo kuonesha Mama Samia alikuwa Muuaji anaongoza serikali ya uuaji na ikifika 2025 atamgeuka na kusema hapaswi kupewa nafasi. Naamini Watanzania wapo macho na hawa waheshimiwa ambao ni wabaya sana
 
Nini mantiki ya kuwa na chombo kinachoitwa serikali? Kama mkuu wa nchi muovu kwa nini makamu wake hakujiuzulu?

Ajiuzulu kisha atekwe? Kwa katiba hii na kwa aina ya mtu kama yule dhalimu, inabidi ukubaliane na chochote atakacho.
 
Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.

Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?

Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.

Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?

Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.

Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.

Rais Samia alikuwa makamu wa rais, Majaliwa alikuwa Waziri Mkuu, Philip Mpango alikuwa Waziri wa Fedha, IGP siro yupo hadi leo​

 
Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.

Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?

Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.

Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?

Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.

Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
Kwa tabia ya magufuli ulitaka Samia afanye nini? Alimvumilia Sana.
Rumors had it that she wanted to step aside, but was prevented by tiss.
 
Itakuwa ya 6 kama samia atachaguliwa 2025.

Ni awamu ya sita. Maana kikatiba mama Samiah akichaguliwa Tena atakuwa ni kipindi Cha mwisho. Wakati awamu Ni miaka kumi. Magufuli alifariki ndani ya muda Chini ya miaka mitatu, ambapo Rais ajaye anakuwa na awamu mpya.
 
Umakamu ndani ya nchi ile ni Kama mzigo, lazima ufuate direction ya boss other ways operation tezi dume itakuhusu

Bernad Membe utambue ndugu yako ni mhusika mkuu wa mauaji ya JPM. Na muundo wa serikali iliyokuwepo awamu ya tano ni ule ule uliopo awamu ya sita isipokuwa awamu ya sita mafisadi wamerudishwa wote.​

 
TISS ni wale wale wale, JWTZ ni wale wale, polisi ni wale wale, Waziri mkuu ni yule yule, makamu wa rais ambaye ndiye rais (ondoa tu neno Makamu ili iwe rais) ni yule yule. Kwa hiyo nadhani Mh. Membe ana matatizo binafsi na serikali ya Mama Samia, ni mnafiki maana kaongea hivyo kuonesha Mama Samia alikuwa Muuaji anaongoza serikali ya uuaji na ikifika 2025 atamgeuka na kusema hapaswi kupewa nafasi. Naamini Watanzania wapo macho na hawa waheshimiwa ambao ni wabaya sanausko

Pole yako, unadhani hatujui tofauti ya utawala wa dhalimu na bibi wa kijijini? Hao Tiss, JWTZ, Polisi nk wao wanatii atakacho rais regardless ni sahihi ama sio sahihi. Katiba hii inamruhusu rais kufanya chochote na asishitakiwe milele popote hapa nchini.
 

Bernad Membe utambue ndugu yako ni mhusika mkuu wa mauaji ya JPM. Na muundo wa serikali iliyokuwepo awamu ya tano ni ule ule uliopo awamu ya sita isipokuwa awamu ya sita mafisadi wamerudishwa wote.​

Ni kweli muuaji anadhani yeye hatokufa hahahah, wamemuua ila spirit za watanzania hazijafa kabisa. Yaani kajiongezea chuki kubwa mno
 
Back
Top Bottom