abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.
Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?
Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.
Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?
Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.
Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
Siyo kweli,katika serikali iliyopita,ambayo ni ya CCM ile ile amepungua JPM pekee.Timu nzima ni ile ile na ubishi wa Katiba Mpya ni ule ule.
TISS ni wale wale wale, JWTZ ni wale wale, polisi ni wale wale, Waziri mkuu ni yule yule, makamu wa rais ambaye ndiye rais (ondoa tu neno Makamu ili iwe rais) ni yule yule. Kwa hiyo nadhani Mh. Membe ana matatizo binafsi na serikali ya Mama Samia, ni mnafiki maana kaongea hivyo kuonesha Mama Samia alikuwa Muuaji anaongoza serikali ya uuaji na ikifika 2025 atamgeuka na kusema hapaswi kupewa nafasi. Naamini Watanzania wapo macho na hawa waheshimiwa ambao ni wabaya sana
Na waliopoteza maisha watafufuliwa...hii ni awamu kiboko.Mbona sasa anawalipa watu haki zao. Wote waliodhulumiwa na yule katili wanarudishiwa haki zao.
Can you prove ?
Hawa watu sijui walifikaje kwenye nafasi za juu za uongozi wa nchi.
Wana tabia za kiswahili mno.
Nini mantiki ya kuwa na chombo kinachoitwa serikali? Kama mkuu wa nchi muovu kwa nini makamu wake hakujiuzulu?
Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.
Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?
Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.
Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?
Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.
Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
Kwa tabia ya magufuli ulitaka Samia afanye nini? Alimvumilia Sana.Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.
Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?
Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.
Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?
Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.
Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
Ahaaa. We bwa mdogo acha nicheke.Am pretty sure of what am saying.
Itakuwa ya 6 kama samia atachaguliwa 2025.
Nini mantiki ya kuwa na chombo kinachoitwa serikali? Kama mkuu wa nchi muovu kwa nini makamu wake hakujiuzulu?
ukomo wa rais ni miaka kumi, kwa hiyo akichaguliwa 2025 ana ruhusa tena ya kugombea 2030 kwa kuwa hapa amepokea tu kijiti?Itakuwa ya 6 kama samia atachaguliwa 2025.
Angejiuzulu na kupisha serikali ya waovu.
Umakamu ndani ya nchi ile ni Kama mzigo, lazima ufuate direction ya boss other ways operation tezi dume itakuhusu
TISS ni wale wale wale, JWTZ ni wale wale, polisi ni wale wale, Waziri mkuu ni yule yule, makamu wa rais ambaye ndiye rais (ondoa tu neno Makamu ili iwe rais) ni yule yule. Kwa hiyo nadhani Mh. Membe ana matatizo binafsi na serikali ya Mama Samia, ni mnafiki maana kaongea hivyo kuonesha Mama Samia alikuwa Muuaji anaongoza serikali ya uuaji na ikifika 2025 atamgeuka na kusema hapaswi kupewa nafasi. Naamini Watanzania wapo macho na hawa waheshimiwa ambao ni wabaya sanausko
Pole naona pointi imekuingia vema.Pale majinga mazee yanapofarijiana
Sisi tunahitaji Rais wa wananchi na sisi wa chama cha kisiasa.ukomo wa rais ni miaka kumi, kwa hiyo akichaguliwa 2025 ana ruhusa tena ya kugombea 2030 kwa kuwa hapa amepokea tu kijiti?
Ni kweli muuaji anadhani yeye hatokufa hahahah, wamemuua ila spirit za watanzania hazijafa kabisa. Yaani kajiongezea chuki kubwa mnoBernad Membe utambue ndugu yako ni mhusika mkuu wa mauaji ya JPM. Na muundo wa serikali iliyokuwepo awamu ya tano ni ule ule uliopo awamu ya sita isipokuwa awamu ya sita mafisadi wamerudishwa wote.
Mvumilivu hula mbivuAngejiuzulu na kupisha serikali ya waovu.