Kwa hyo nawe angekuja kwako hata ale jicho ungekubaliana nae? π akili zenu ni fyatu sana
Kwa hiyo maza alitetemekea madaraka ndo maana hakuchukua hatua yyte? ππ kweli tunaongozwa na mtu muoga sana sku hz, atawatetemekea makaburu wezi kisa ni wakubwa kwake.Mimi sijawahi kutetemekea madaraka, nyie mnaotetemekea madaraka ndio huwa mnaliwa ndogo.
Siyo kweli. Rais anafanya uteuzi kwa kumshirikisha makamu, huwezi kufanya maamzi ya nchi kivyako ni uongo mnajifichia tu. Samia alihusika sana ndo maana hadi kupigwa risas lisu alisema mpigaji hakuwa askari wao maana wa kwao wanashabaha sana.
Kwa hiyo maza alitetemekea madaraka ndo maana hakuchukua hatua yyte? ππ kweli tunaongozwa na mtu muoga sana sku hz, atawatetemekea makaburu wezi kisa ni wakubwa kwake.
πKifo ni kifo tu! Hayo mengine ni ya kusadikka tu
Walionyimwa kuiba pale unapotoka madarakani watakuandikia mabaya tu.π
Aliyetoka madarakani Tzn ni Mwendazake pekee?Walionyimwa kuiba pale unapotoka madarakani watakuandikia mabaya tu.
Kwahiyo mliompenda ni nyie aliowaruhusu kuiba?Walionyimwa kuiba pale unapotoka madarakani watakuandikia mabaya tu.
Tulioona kazi zikienda sawa kwa uadilifu bila mtu kujiona bora zaidi ya wenzake. Hadi CHADEMA Mdee alijiona yuko sawa na mbowe πKwahiyo mliompenda ni nyie aliowaruhusu kuiba?
Tulioona kazi zikienda sawa kwa uadilifu bila mtu kujiona bora zaidi ya wenzake. Hadi CHADEMA Mdee alijiona yuko sawa na mbowe π
Wakati mwingine inabidi watu watumie ubongo kufikiri kuliko kutumia tumbo kwenye kufikiri. Hivi wewe kwa akili yako ilivyo chafu kama oil chafu ungeweza kumpinga Magufuli? Kuna mtu aliyejaribu akawa immune na huyo DICTATOR? Jifunze kutokana na historia, je madikteta wanaweza kuambia lolote na walio chini yao? Angalia mfano wa Bokassa, nani aliongea akabaki hata aliyekuwa makamu wa rais, Iddi Amin, hukuona Makamu wakibadilika kama uyoga, kama jaji mkuu aliweza kuuawa seuze makamu wa rais. Jifunze ujue jinsi madikteta wanavyofanya kazi....Angalia tu mfano wa Kenyatta na Rutto, hawa ni watu wawill wasioongea na kufanya kazi pamoja...ni mahasimu, ni kwamba Uhuru hawezi mfanya lolote Rutto, Ingekuwa ni Magufuli, huyo makamu awe Samia au nani angesweka jela.....Wewe unapenda kukaa jela na familia yako iumizwe? Acheni midomo nyiye binadamu wajinga, kusema ni rahisi lakini ingia ndani ucheze hiyo ngoma uone. Kwanza hii siyo awamu ya tano....huyu ni rais wa awamu mpya, awamu hazihesabiwi namna anavyohesabu huyo Polepole wenu.Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.
Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?
Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.
Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?
Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.
Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
Nimekuwa futuhi mimi wa kupost kitu cha kuchekesha kila mtu? Msitumie nguvu kupromote mtu watu wanajionea wenyewe, uziri haongozi mataahira tu.Haichekeshi.
Katiba ya JMT ndio inahesabu awamu.Wakati mwingine inabidi watu watumie ubongo kufikiri kuliko kutumia tumbo kwenye kufikiri. Hivi wewe kwa akili yako ilivyo chafu kama oil chafu ungeweza kumpinga Magufuli? Kuna mtu aliyejaribu akawa immune na huyo DICTATOR? Jifunze kutokana na historia, je madikteta wanaweza kuambia lolote na walio chini yao? Angalia mfano wa Bokassa, nani aliongea akabaki hata aliyekuwa makamu wa rais, Iddi Amin, hukuona Makamu wakibadilika kama uyoga, kama jaji mkuu aliweza kuuawa seuze makamu wa rais. Jifunze ujue jinsi madikteta wanavyofanya kazi....Angalia tu mfano wa Kenyatta na Rutto, hawa ni watu wawill wasioongea na kufanya kazi pamoja...ni mahasimu, ni kwamba Uhuru hawezi mfanya lolote Rutto, Ingekuwa ni Magufuli, huyo makamu awe Samia au nani angesweka jela.....Wewe unapenda kukaa jela na familia yako iumizwe? Acheni midomo nyiye binadamu wajinga, kusema ni rahisi lakini ingia ndani ucheze hiyo ngoma uone. Kwanza hii siyo awamu ya tano....huyu ni rais wa awamu mpya, awamu hazihesabiwi namna anavyohesabu huyo Polepole wenu.
Na Rais alikuwa Magufuli. Culprit bado ni Magufuli kwa sababu ilikuwa Serikali ya Magufuli kama alivyokuwa akijitapa.Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.
Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?
Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.
Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?
Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.
Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
Alipaswa ajiuzulu? c'mon, halafu aje akaombe pesa za kuilisha familia yake kwako? Alitaka lakini mvumilivu hula mbivu, na pia kujiuzulu hakusaidi kutatua tatizo. Imekuwa bora hakujiuzulu, je tungepata rais mwenye busara kama yeye sasa?Katiba ya JMT ndio inahesabu awamu.
Kama serikali ya awamu ya tano ilikuwa na uovu basi makamu wa rais alipaswa kujiuzulu.
Katiba haihesabu awamu wewe, kaisome vizuri au leta hilo kifungu kinachosema hii ni awamu ya ngapi? Rais mpya ni awamu kaka. Usitufanye wajinga. Wewe kamfuate polepole huko MalawiKatiba ya JMT ndio inahesabu awamu.
Kama serikali ya awamu ya tano ilikuwa na uovu basi makamu wa rais alipaswa kujiuzulu.
Mnamtetea mwuaji yule!Kwa hiyo mbowe kuwa rumande alifanya yeye? Akina pambalu kukamatwa majuzi aliamuru yeye? Huyo aliyekutwa kafa huko malaika beach mwanza aliamuru yeye? Mnabwatuka tu, nani aliuliwa enzi za magufuli na kwa umaarufu gani aliokuwa nao kiasi cha kumpa changamoto za uongozi?
Nimekuwa futuhi mimi wa kupost kitu cha kuchekesha kila mtu? Msitumie nguvu kupromote mtu watu wanajionea wenyewe, uziri haongozi mataahira tu.
Kiwango chako cha kupambanua mambo duni sanaAlipaswa ajiuzulu? c'mon, halafu aje akaombe pesa za kuilisha familia yake kwako? Alitaka lakini mvumilivu hula mbivu, na pia kujiuzulu hakusaidi kutatua tatizo. Imekuwa bora hakujiuzulu, je tungepata rais mwenye busara kama yeye sasa?