Ni aibu Maembe kushindana na Magu, Membe akigombea ubunge ni saizi yake si urais!! viatu vya urais ni oversaizi kwake!! Maembe tunamfahamu Dar tu tena mwisho Ilala mjini kati!!
akili yake haijai kijiko yaani anataka kuamrisha upinzani wote waungane wampe bendera apeperushe ili angalau apate kura nyingi kidogo ndio maana ameshaalikwa na ZZK na Maalim ila hataki kuwakilisha chama kimoja!!
Maembe is finished! hana majabu tena!! nawasihi watu walio karibu yake kumwambia ukweli kuwa yeye ni debe tupu tu sasa na halivumi!!!wamwambie hana mvuto wala nguvu anayojipachika!! wamwambie hajulikani vijijini na mikoani, wamwambie yeye ni underground, underdog na nafasi inayomfaa ni ubunge si uraisi!!na tena ubunge aupiganie haswa manake yuko nje ya system now!!watanzania tujifunze kuambiana ukweli ni wakati sahihi sasa!!