Bernard Membe: Sitaomba msamaha!

Bernard Membe: Sitaomba msamaha!

Huyo Ndio JASUSI MBOBEZI ninayemfahamu mimi , HAKUNA KUOMBA RADHI KWANI RADHI HIYO KWIOOOOOOO!!! 😀 😀 😀 😀 😀
Kwahiyo Membe asipoomba radhi nini kina athirika pale ccm?
 
Yule aliomba msamaha for a reason; wanasema ana makontena yake hajayalipia ushuru, sasa kama unajiamini wewe ni msafi msamaha wa nini?

He has been blackmailed kwa kuoneshwa faili la makosa yake ya kifisadi aliyofanya akiwa katibu mkuu ; sasa ili kupisha shari ameshauriwa amwangukie Jiwe ama sivyo angehusishwa na moneylaundering!! Ameona isiwe taabu wacha mwanaharamu apite!!!!
 
Hamna lolote, usitake kumpamba wakati hana lolote. Jeuri yake ilikuwa wakati yuko madarakani akaishia kuchezea katiba ya wananchi. Saa hii analambishwa mchanga tu. Yaani hapo alipo hana tofauti na binti wa kazi toka Tukuyu? Hata huyu Magufuli anayeonekana leo mwenye nguvu na asiyetishiwa lolote, ngoja atoke madarakani uone kama atakuwa na lolote la maana.
Hata jela ataenda
 
Kwahiyo Membe asipoomba radhi nini kina athirika pale ccm?
Hakuna Mkuu ila Tunaomba Demokrasi itamalaki kwenu kwamba iruhusu wanachama wengine wachukue form za kugombea urais hakuna mambo ya desturi ya chama kwamba lazima mtu agonge 10.
 
He has been blackmailed kwa kuoneshwa faili la makosa yake ya kifisadi aliyofanya akiwa katibu mkuu ; sasa ili kupisha shari ameshauriwa amwangukie Jiwe ama sivyo angehusishwa na moneylaundering!! Ameona isiwe taabu wacha mwanaharamu apite!!!!
Mjinga mpe ukubwa upone, huu ni msemo wa kiswahili.
 
Nikikutana na Mwakinyo akaniambia anataka kupigana na Antony Joshua nitamwambia "shauri yako"
 
Tena unamkuta mtu mzima na meno 32 ndani ya kinywa chake, bila ya aibu anasema eti binti Karume (shangazi) na binti Salungi eti ni wana harakati!! Fikra finyu sana. Hivi kwa wadhifa wa family ya Karume huyo binti Karume ingeshindikana nini kupewa ajila yoyote anayoitaka serikalini? Au hata huyo binti Sarungi? Hao watu wawili kuna maudhi gani wamefanyiwa na serikali ya chama cha nyumbani kwao (CCM) hadi waichukie?
Kwa akili za aina hii CCM itatawala zaidi ya miaka 100.
Ni Sarungi na siyo Salungi. Halafu ajila waachie watoto wadogo waseme, wakubwa wanasema ajira.
 
Unafikiri ile ccm ni ya wajinga kama kina Seif wa Cuf Lipumba alipo andika barua ya kujiuzulu wakakaa kimya?

Ccm inaendeshwa kisomi
Toka lini ccm ikaendeshwa kisomi?? Awamu hii ccm inaendeshwa kikanda na kidikteta ...ili upate uteuzi lazima uwe unatoka kanda ya ziwa..ccm ya leo bure kbs
 
Back
Top Bottom