Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Mkuu naona unataka ligi!Unapingana na Katibu wako Bashiru?
Haya basi Membe hajafukuzwa ccm, bado ni mwanachama hai na mwaka huu atachukua form ya urais kupitia ccm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naona unataka ligi!Unapingana na Katibu wako Bashiru?
Kwahiyo Membe asipoomba radhi nini kina athirika pale ccm?Huyo Ndio JASUSI MBOBEZI ninayemfahamu mimi , HAKUNA KUOMBA RADHI KWANI RADHI HIYO KWIOOOOOOO!!! 😀 😀 😀 😀 😀
Boss wako dikteta ..Ni moja ya characteristics zao kupenda kunyenyekewa na kulambwalambwa.Nani ana shida na huo msamaha wake
Kina Magufuli na Basbiru na Polepole wamemtimua Membe chamaniWajanja gani?
Asipoomba radhi Magufuli hatakuwa Rais?Boss wako dikteta ..Ni moja ya characteristics zao kupenda kunyenyekewa na kulambwalambwa.
Ila membe ndiye pekee aliyeitikia wito wa kuitwa..Usimlinganisha Kinana na mh Membe
Yule aliomba msamaha for a reason; wanasema ana makontena yake hajayalipia ushuru, sasa kama unajiamini wewe ni msafi msamaha wa nini?
Hata jela ataendaHamna lolote, usitake kumpamba wakati hana lolote. Jeuri yake ilikuwa wakati yuko madarakani akaishia kuchezea katiba ya wananchi. Saa hii analambishwa mchanga tu. Yaani hapo alipo hana tofauti na binti wa kazi toka Tukuyu? Hata huyu Magufuli anayeonekana leo mwenye nguvu na asiyetishiwa lolote, ngoja atoke madarakani uone kama atakuwa na lolote la maana.
Awe rais ama asiwe lkn tayari self esteem yake itatetereka sababu ni dikiteta anapenda kulambwalambwaAsipoomba radhi Magufuli hatakuwa Rais?
Na kaa mkao wa kula, mbowe anabadili tena gia angani na kuwaletea JASUSI MBOBEZI ndani ya chama...Utajua wewe, ebu kawahi chakula kwa shemeji yako maana kula kulala hana dhamana
Hakuna Mkuu ila Tunaomba Demokrasi itamalaki kwenu kwamba iruhusu wanachama wengine wachukue form za kugombea urais hakuna mambo ya desturi ya chama kwamba lazima mtu agonge 10.Kwahiyo Membe asipoomba radhi nini kina athirika pale ccm?
Hahaha... Siku ile wameitwa Dodoma, Kinana hakutokea mkashangilia kweli![emoji3]Anasubuli barua yake
Mruhusuni MEMBE achukue form ndio utajua MAGU anakuwa rais au lah.Asipoomba radhi Magufuli hatakuwa Rais?
Mjinga mpe ukubwa upone, huu ni msemo wa kiswahili.He has been blackmailed kwa kuoneshwa faili la makosa yake ya kifisadi aliyofanya akiwa katibu mkuu ; sasa ili kupisha shari ameshauriwa amwangukie Jiwe ama sivyo angehusishwa na moneylaundering!! Ameona isiwe taabu wacha mwanaharamu apite!!!!
Unafikiri ile ccm ni ya wajinga kama kina Seif wa Cuf Lipumba alipo andika barua ya kujiuzulu wakakaa kimya?Suala hapa ni barua sio kutawala
Ni Sarungi na siyo Salungi. Halafu ajila waachie watoto wadogo waseme, wakubwa wanasema ajira.Tena unamkuta mtu mzima na meno 32 ndani ya kinywa chake, bila ya aibu anasema eti binti Karume (shangazi) na binti Salungi eti ni wana harakati!! Fikra finyu sana. Hivi kwa wadhifa wa family ya Karume huyo binti Karume ingeshindikana nini kupewa ajila yoyote anayoitaka serikalini? Au hata huyo binti Sarungi? Hao watu wawili kuna maudhi gani wamefanyiwa na serikali ya chama cha nyumbani kwao (CCM) hadi waichukie?
Kwa akili za aina hii CCM itatawala zaidi ya miaka 100.
Toka lini ccm ikaendeshwa kisomi?? Awamu hii ccm inaendeshwa kikanda na kidikteta ...ili upate uteuzi lazima uwe unatoka kanda ya ziwa..ccm ya leo bure kbsUnafikiri ile ccm ni ya wajinga kama kina Seif wa Cuf Lipumba alipo andika barua ya kujiuzulu wakakaa kimya?
Ccm inaendeshwa kisomi