Bernard Membe: Tanzania diplomasia imeshuka awamu hii. Tutatengwa na majirani wakiona hatufuati vigezo vya WHO kupambana na COVID19

Depromashenyua ndo nene eti😀
 
Kwako wewe mizigo ya Zambia kutoka Tanzania ndio suala kubwa sana!! Hivi Msumbiji hakuna bahari, South Africa hakuna bahari? Acha mawazo mfu hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bernard Membe ameongea kwa unyenyekevu tu. Siyo kwamba Diplomasia imeshuka bali Diplomasia imekufa. Tuna pimbi tu pale Ikulu ndiyo tumemkabidhi nchi
 
Baada ya Membe kutengwa na CCM amepatwa na mshituko mkubwa sana.. Mfadhaiko wa kutengwa umemsababishia ahofie kutengwa kwenye kila jambo, hata liwe baya.
 
Membe hayuko karibu na ccm kwa sasa!! Zilikuwa enzi zile na mbeleko pembeni! Wewe mwenye akili timamu zinakutuma uamini kuwa mtu ambaye si mwanachama wa ccm ndiye aliye karibu na ccm!! Hizo ndio akili timamu!! Halafu hasira za nini ?
 
Sio tu imeshuka ni kwamba imeondoka kabisa tumekuwa isolated tayari labda tutaendelea kushurikiana kwa karibu na jamhuri ya watu wa chato
 
Kiswahili sahihi imekufa.
 

Msumbiji wamefanya upanuzi mkubwa wa bandari yao. kuna kampuni ya uholanzi imefanya hiyo kazi. Last week Maersk kashusha chombo kikubwa sana hapo port kwao. Na wanajitahidi kuimarisha ulinzi na usalama eneo lao kutengeneza njia salama kwa Zambia kutumia bandari yao. Ni kitu wameshashinda hadi sasa.

Hapa kwetu kuna siasa na uchaguzi, kuna mtu anahujumiwa live live. Kuna namna mtu anatafutiwa ili jamii isimkubali. Halafu najiuliza wale watanzania waliohamishia mitaji na biashara zao Zambia kuwakwepa kina Zakayo wa hapa, kwa sasa hali yao ikoje? Biashara zao wataziendeleza vipi kwa kufungwa mpaka?

Nyumbani ni nyumbani tuu,
 
Nikisema una mavi badala ya ubongo kichwani nitakuwa nimekosea nini!!?
Mtu akikosa hoja utamjua tu!! Siwezi kukulaumu kwa matusi maana ndivyo ulivyolelewa!! Pole!! Matusi hufanya kazi mbili tu: 1. Hufunua moyo wa mtu jinsi ulivyo mchafu. 2. Hufunua namna mtu alivyolelewa toka utotoni!! Pole! maana unaaonyesha kuwa wewe ni mhanga wa malezi mabovu!! Nitakuwa punguwani nikikulaumu!!!
 
Hapa naamini ulikuwa unazungumzia tofauti ya Umbali kati ya DSM - LSK na ule wa LSK - JBURG
Acha upumbav.u wewe, asilimia 70 ya wapi? Umewahi kuyaona malori ya Zambia yanayotoka South Africa?..Hivi unajua Dar Lusaka ni mbali kuliko Dar Johburg kwa ubora wa barabara n.k? Uwe una-google mambo mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vile vya usiku vilikuwa vya nn?
Wote mmesikia mkuu wa nchi alivyosema: ikitokea kifo ndugu wazike mtu wao huku wakizingatia maelekezo ya serikali kuhusu namna ya kuepusha maambukizi katika mazingira ya mazishi. Hakuna mazishi ya siri!!! Halafu kifo hakiwezi kutokea halafu ikawa siri!! Hakuna vifo vingi maana tungeviona kwenye jamii.Zaidi ya hapo ni uzushi!!
 

Tanzania hatuna Corona, kama ipo basi labda watu 3 au 5 tu na sio zaid na wala hakuna vifo
 
Nilivyokuwa nasikiliza wavyojadili ni kwamba Tanzania ndo itaathirika zaidi kiuchumi,ningependa kujua hasa kwanini sisi ndo tunanufaika zaidi kwa mpaka wa zambia ?zambia na Tanzania nani ananufaika zaidi ?
 

Mnatengwa kwa lipi? Mtu kufunga mpaka wake unasema katutenga kwani yeye pia si atakuwa amejitenga? Hakuna mtu atajitenga kwenye zama hizi ni uzwazwa tu wa watu wanaofikilia hivyo, ugonjwa utaisha na maisha yataendelea, kwani ugonjwa uliletwa na Tanzania?
 
Praise team
 
Acha upumbav.u wewe, asilimia 70 ya wapi? Umewahi kuyaona malori ya Zambia yanayotoka South Africa?..Hivi unajua Dar Lusaka ni mbali kuliko Dar Johburg kwa ubora wa barabara n.k? Uwe una-google mambo mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app

Zitaje hizo klm tofauti ya dar na s africa sio kuonge bila data.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…