Well said madhila na maovu yote aliyofanya Magufuli kwa raia na wale anaopingana nao mtazamo akina Pascal hawajawahi kuonyesha msamaha unahitajika. Bado nawaona ni wanafiki tuPasko badala ya kumuombea msamaha huyo kichaa chukueni hili kama somo. Jifunzeni acheni kuruka baadhi ya step kufunika kombe.
Ingalikuwa heri mkajifunza na nyinyi wenyewe mkaanza kujiombea masamaha kwa uchawa wenu
Musiba analipia kipimo alichowapimia wenzake.Mimi nina idadi ya bahasha alizopokea toka aanze kazi yake, Ni kichaa pekee anayeweza kumtetea Musiba. Musiba aliowasema vibaya vilevile alikuwa akiomba mamlaka ziwachukulie hatua kali sana aliwaombea mabaya yawakute nasi tunamuombea mabaya yamkute kama yeye alivyowaombea wengine.
Wewe ni chawa wa Magufuli au sukumagang passe, hamkumwambia Magufuli kuwa ana visasi rejea suala la Manji.Mkuu,
Membe ni aina ya viongozi wenye 'inferiority complex' ndio udhaifu mkuu anaotumia kutafuta huruma. Kiongozi yeyote mwenye visasi kizazi chake chote hufutika kwa visasi pia.
Ukiangalia kawekeza Mtwara badala ya kuwekeza kwanza kwao Lindi hivyo kuufanya mji wa Lindi kama kijiji cha utalii wa majengo ya kijima kama makuti katikati mji.
Mungu akikuonya usilipize kisasi lakini wewe kama binadamu ukang'ang'ania kwa kiburi chako tu lazima nifanye ninavyotaka mwisho wake sio mzuri. Asifikiri anamkomoa Musiba, anajikomoa mwenyewe na wale wanaomhamasisha kumtenda Musiba siku ikifika watamkana
Sio P yule unayemfahamu kabla ya MaguMusiba analipia kipimo alichowapimia wenzake.
Naona Maxence Melo analeta ugaigai kwa kusita kumchukulia hatua Musiba.
Kuhusu Pascal Mayalla ninayemfahamu mimi ni nguli wa habari tena za kiuchubguzi. Haandiki unachotaka kusikia bali anaandika facts na issues zenye mashiko. Hayo mengine naona kama mnamtengenezea zengwe kwa sababu kamtetea Musiba
Kwa hiyo unajaribu kumtisha Membe asifuatilie haki yake eti amewapuuza maaskofu! ? Sijui una akili ya namna gani kiumbe wewe! Achana na Membe. Kama unamuonea huruma mtu wako si umsaidie kulipa deni lake?Wanabodi,
Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...
Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.
Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.
Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.
Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.
Kila binadamu anastahili a second chance.
Asamehewe.
Paskali
Mkuu Kwa hili sio shetani ni la kwake, harafu mbona wakati anafanya Yale maovu hao maoskofu hatukuwasikia kukemea huo ni unafikiWanabodi,
Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...
Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.
Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.
Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.
Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.
Kila binadamu anastahili a second chance.
Asamehewe.
Paskali
Abinywe tuNaheshimu mawazo yako juu ya msamaha, lakini msamaha hutolewa pale mkosaji anapojuta na kuona uchungu juu ya makosa yake. Pia alipewa nafasi mara tatu kuomba msamaha akakataa. Anapoona anapoteza mali ndio anakumbuka shuka. Wahenga wanamisemo mingi.
Mkaidi hafaidi mpaka siku ya idi. Usiposikia la mkuu huvunjika guu ...
Sasa tumuache Musiba avune alichopanda.
Lakini pia acha apitie machungu hayo iwe fundisho kwa vijana wengine. Hata Sabbaya amepitia hayo aliyopitia ili iwe fundisho kwa wengine. Na ninaamini funzo limetolewa.
I support Membe's family stand. Wacha mvua inyeshe tujue panapovuja.
Kumbuka bado Fatma Karume hajakazia hukumu case yake pia.
Marasusa na Pengo kipindi kile walikuwa kama watumishi wa ikulu.Mkuu Kwa hili sio shetani ni la kwake, harafu mbona wakati anafanya Yale maovu hao maoskofu hatukuwasikia kukemea huo ni unafiki
Haiwezekani, na hawafai kabisa kusikilizwa maana ni wanafikiHao maaskofu walikuwa sehemu ya ule uchafu wa awamu iliyopita Leo wanakuwaje wapatanishi
Ni kweli hata vitabu vitakatufu vinathibitisha hayo kwa maandiko mengi ikiwemo usiache Mchawi akaishi.Sio kila kosa ni la kusamehe
Sio kila mtu ni wa kusamehe
Sio kila wakati ni kusamehe
Sio kila mahali ni kusamehe
Sometimes Umiza au Lipiza
Anatakiwa amlipe kwa assets zake. Kama hazimalizi deni basi linabaki deni.Shida Hana pesa ya kumlipa Membe.
Amefanyaje?Ona huyu mtoto naye.
Umeandika nini sasa!!!!Mbona unaleta hoja ambazo hazina uhusiano? Kwani Membe kuupata au kuukosa Urais, kunamtegemea Musiba au wanaomwombea wanamwombea msamaha? Kwanza una uhakika gani kuwa Membe atagombea Urais? Basi na Rais wetu awatoe gerezani wafungwa wote ili aupate Urais kwa sababu asipowatoa hatakuwa Rais!!
Tunajua Sukuma Gang mnajaribu kumnusuru Musiba, to late men.... as we speak hakuna wa kutushauri , We only move on, Musiba lazima alipe gharama za matusi ya mdomo wake, si alisema Membe ni Joka la Kibisa, ngoja tuone vile unaweza cheza na joka la Kibisa, Shubaramit.....Wanabodi,
Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...
Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.
Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.
Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.
Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.
Kila binadamu anastahili a second chance.
Asamehewe.
Paskali
Kichaa mwenyewe amekubari kua kile kilikua ni kichaa tu na sio yeye ? hivyo Sasa yeye amerudi kichaa kimeenda maana umeshasema ameombewa alikua na kichas, Sasa ukisema tena kichaa kichaa kichaaka maana yake ndio yule yule kichaa hakijamtoka akisamehewa atadharau na kutukana Tena, tuache unafki na kujitweza hao maaskofu wakati Membe anatukanwa na huyo unaesema kichaa wao walikua wapi na walifanya nini ?Kumuombea msamaha kichaa huyu,
Kiukweli kichaa huwa haombi msamaha. Apambane na hali yake.Paskal,
Leo ndio unasema Musiba ni kichaa, basi apelekwe milembe tujue ni kichaa. Kichaa anawezaje kuongea na maaskofu wamwombee msamaha? Mwache apate alichotaka. Na Fatma nasikia ameenda kukazia hukumu yake.