Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo

Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo

Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Sio kichaa sema vimeumana.
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipofanya makosa yale, hakuwa yeye, alikuwa ni possessed na demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Hapana!, Membe kaza kamba uko sahihi , wakati unafedheheshwa hakuna Askofu Wala Mchungaji aliyemsihi Msiba aache usheitwani wake kutaka kuwaangamiza wenziwe bila huruma huyo hastahili hata kuishi na Bin Adam, alivimba kichwa sana akitoa shutuma kwa aliodhani tu hawa hawastahili kuishi , alivimbishwa bichwa na utawala dhalim uliofutwa na Muumba, anatakaje huruma wakati yeye huruma hajawahi kuisikia ?!, Msimtafutie lawama Membe Yuko sahihi , ilikuwa busara akiri na atoke hadharani kujutia uzushi na unafiqi aliokuwa akiuzusha Kila kukicha kabla ya kwenda mahakamani ambako alijua atashinda kwa sababu aliyekuwa akimtuma hakutarajia ataondoka na atabaki mwenyewe , Sasa madhal hukumu imeshaelekeza basi HAKI itekelezwe
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale, hakuwa yeye, he was insane and possessed by demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Mkosaji akiomba msamaha, uliokosewa uko huru kukubali msamaha huo na kusamehe, au kutosamehe, lakini ikitokea akaombewa msamaha na watu wenye daraja kubwa kama Maaskofu, sio cha kupuuzwa!.

Baba wa taifa, Mwalimu Nyerere, alikasirika sana na yule mshenzi aliyesema, serikali yote ameiweka mfukoni!. Nyerere akamtia ndani!. Akatiwa misukosuko akagoma kata kata, ila alipoombwa na Baba Askofu Makarious wa Cyprus, Nyerere akalainika na kusamehewa!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo hivyo hata kichaa akitubu, anastahili msamaha.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Dawa ya moto ni moto, Membe shikilia uzi huo huo mpaka akome ndio itakua funzo na kwa wengine, kutukana na kudhalilisha watu hiyo sio demokrasia
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale, hakuwa yeye, he was insane and possessed by demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Mkosaji akiomba msamaha, uliokosewa uko huru kukubali msamaha huo na kusamehe, au kutosamehe, lakini ikitokea akaombewa msamaha na watu wenye daraja kubwa kama Maaskofu, sio cha kupuuzwa!.

Baba wa taifa, Mwalimu Nyerere, alikasirika sana na yule mshenzi aliyesema, serikali yote ameiweka mfukoni!. Nyerere akamtia ndani!. Akatiwa misukosuko akagoma kata kata, ila alipoombwa na Baba Askofu Makarious wa Cyprus, Nyerere akalainika na kusamehewa!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo hivyo hata kichaa akitubu, anastahili msamaha.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Kwa wamuaminio bwana "mateso humpunguzia mtu dhambi"
"Dhahabu hupitishwa kwenye moto mkali kabisa ili iwe na thamani"
"Mgonjwa anapochomwa Sindano si adhabu bali ndio njia yakuondosha maradhi aliyonayo",
Anachopitia Musiba hivi sasa si Uonevu bali ni haki yake na ndio njia sahihi yakumrejesha kwenye UTIMAMU wake wa afya ya akili na mwili pia.
"KARMA" akitoroka kwa Membe atakamatwa kwa Karume na aliowaumiza ni wengi, wengi sana hawatakuwa tayari kumuona akiwa huru,kurukaruka kutampelekea afe taratiiibu maumivu yatakuwa makali nayamuda mrefu.
 
FB_IMG_1683880642506.jpg
haya maisha Yana Siri kubwa sana pale unapo PATA nafasi ya kuishi tenda Yale yanayofaa mbele za mwenyezi Mungu ikiwa ni pamoja kusamehe kutubu nk
Maisha ya mwanadamu ni mafupi sanaa na hayana Thamani kabisa hapa Duniani yanini kiburi, dharau kutoheshim watu.

RIP Membe mchango ulotoa kwenye Taifa utakumbuka vizazi na vizazi
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale, hakuwa yeye, he was insane and possessed by demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Mkosaji akiomba msamaha, uliokosewa uko huru kukubali msamaha huo na kusamehe, au kutosamehe, lakini ikitokea akaombewa msamaha na watu wenye daraja kubwa kama Maaskofu, sio cha kupuuzwa!.

Baba wa taifa, Mwalimu Nyerere, alikasirika sana na yule mshenzi aliyesema, serikali yote ameiweka mfukoni!. Nyerere akamtia ndani!. Akatiwa misukosuko akagoma kata kata, ila alipoombwa na Baba Askofu Makarious wa Cyprus, Nyerere akalainika na kusamehewa!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo hivyo hata kichaa akitubu, anastahili msamaha.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Amekaidi maaskofu... kwakweli Kul nafsi zaikatul maut
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale, hakuwa yeye, he was insane and possessed by demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Mkosaji akiomba msamaha, uliokosewa uko huru kukubali msamaha huo na kusamehe, au kutosamehe, lakini ikitokea akaombewa msamaha na watu wenye daraja kubwa kama Maaskofu, sio cha kupuuzwa!.

Baba wa taifa, Mwalimu Nyerere, alikasirika sana na yule mshenzi aliyesema, serikali yote ameiweka mfukoni!. Nyerere akamtia ndani!. Akatiwa misukosuko akagoma kata kata, ila alipoombwa na Baba Askofu Makarious wa Cyprus, Nyerere akalainika na kusamehewa!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo hivyo hata kichaa akitubu, anastahili msamaha.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Maaskofu wasio na sifa kwa mujibu wa 1tim 3:1-7 kwa hili watajizolea sifa kedekede. Wataogopwa, watajitamgazia utukufu.

Mimi nitabaki kuamini Mh Membe amekufa kifo kilicho halali kwake, yaani Mungu amehitimisha maisha yake.

Si kwa sababu amewagomea maaskofu hao matapeli matapeli(hakuna aliyeomba Membe aadhibiwe pamoja na mapungufu yao) wala si kwa sababu ya uchawi wa wajita, wakerewe na wakara kwa pamoja, bali Mungu kapendezwa maisha yake yaishe leo.
 
Humu JF kuna watu huwa tunawasoma kimzaha ila si wa kawaida!
Kifo Cha membe kinatufundisha mengi Sana

Membe hata Kama alidhalilishwa lakin na yeye alikuwa na mabaya mengi, je Ni uongo hakuwa genge Moja na kina makamba wakimtukana JPM? ,Yeye alilipishwa nin?


Kwanini hakutaka kusamehe tu na maisha yaendelee,

Kifo hakina hodi,ukifa hujasamehana na mtu ,unakuwa upande mbaya


Tuombeni mwisho mwema
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale, hakuwa yeye, he was insane and possessed by demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Mkosaji akiomba msamaha, uliokosewa uko huru kukubali msamaha huo na kusamehe, au kutosamehe, lakini ikitokea akaombewa msamaha na watu wenye daraja kubwa kama Maaskofu, sio cha kupuuzwa!.

Baba wa taifa, Mwalimu Nyerere, alikasirika sana na yule mshenzi aliyesema, serikali yote ameiweka mfukoni!. Nyerere akamtia ndani!. Akatiwa misukosuko akagoma kata kata, ila alipoombwa na Baba Askofu Makarious wa Cyprus, Nyerere akalainika na kusamehewa!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo hivyo hata kichaa akitubu, anastahili msamaha.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
PASCAL ULIONGEA UKWELI,AMESHAKUFA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale, hakuwa yeye, he was insane and possessed by demons hivyo kuwa kama kichaa kabisa! ni shetani alikuwa akimiliki na akimtumia!, hivyo baada ya kuombewa, mapepo yamemtoka, ametambua makosa yake, ametubu, ameomba msamaha, as a human being, anastahili msamaha, hivyo natoa wito kwa Bernard Membe, amsamehe tuu mtu huyu, hakujua atendalo!, Ila maadam ameombewa msamaha na Maaskofu, Membe ukikaidi maaskofu...

Mimeandika haya, baada ya kusoma mahali humu kuhusu Tetesi: - Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba.

Duh..., kama mwandishi huyu, ambaye mimi nilimuona kama ni mwandishi kilaza, kanjanja na kichaa kabisa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, anamiliki mali kama hizo!, then huyu jamaa ni kichwa sana!. Ametuheshimisha sana, hivyo najiunga na Maaskofu, Membe amsamehe tuu!.

Mkosaji akiomba msamaha, uliokosewa uko huru kukubali msamaha huo na kusamehe, au kutosamehe, lakini ikitokea akaombewa msamaha na watu wenye daraja kubwa kama Maaskofu, sio cha kupuuzwa!.

Baba wa taifa, Mwalimu Nyerere, alikasirika sana na yule mshenzi aliyesema, serikali yote ameiweka mfukoni!. Nyerere akamtia ndani!. Akatiwa misukosuko akagoma kata kata, ila alipoombwa na Baba Askofu Makarious wa Cyprus, Nyerere akalainika na kusamehewa!.

Kitendo cha Membe kutowatii maaskofu kitamgharimu sana!. Kuna kiongozi fulani aliwahi kuwadharau maaskofu, najua ni nini kilikuja kumtokea, hivyo sitaki Membe yamkute ya kumkuta!. Amsamehe tuu huyu kichaa, ameishajirudi, akili zimemrudia!, amekubali kosa, ametubu dhambi zake kwa viongozi wake wa dini, wanamuomba Membe amsamehe, Membe asamehe tuu.

Kumuombea msamaha kichaa huyu, hakuna maanishi naunga mkono ule ukichaa wake aliokuwa akiufanya!, no!, namuombea msamaha wa kibinaadamu tuu kwa kutambua udhaifu wa binadamu ni viumbe dhaifu na kuna wakati binadamu tunafanya makosa bila kujijua hivyo kujikuta mtu ametenda kosa bila kujua atendalo hivyo hata kichaa akitubu, anastahili msamaha.

Kila binadamu anastahili a second chance.

Asamehewe.

Paskali
Wewe Pascal Mayala Pascal Mayalla sio binadamu wa kawaida. Mambo yako mengi unayayaona rohoni au pengine kwa macho ya kimwili hutimia kwa namna ya kutisha.
Au labda wewe ni msemaji ukweli na ukweli una tabia ya kujitetea.
 
Back
Top Bottom