Bernard Membe: Walionifukuza CCM wapo wapi? 12 Oktoba 2021 Kazi iendelee

Natamani wanipe Mimi nimfanyie torturing kenge yule,aliwavunjia heshima kina Kikwete na wazee Wengine wastaafu

Mshamba yule walidhani watabadili katiba jamaa yao aongoze milele watoto wa mjini wakatulia kimya kama hawapo kumbe wapo na sasa wamerudi viongozi wastaarabu hakuna tena matusi kwenye hotuba za viongozi wala hatufokewi hovyo kama watoto wadogo, mambo yako tulivu kabisa
 
 
Msukule wa magufuli wewe, majaliwa yuko pamoja na Samia, alikuwa Hana amani chini magufuli,
Kamwe hawezi kumsaliti mama, sukuma gang mtalimia meno
Umeshakula mihogo ya kukaanga hapo lumumba st? Au ulikuwa unasubiri niandike ili ujibu na kuongoza buku Saba ndio ukale? Acha mkurupuko wa kipimbi! Rudia kusoma hoja kabla ya kukurupuka! Na huenda hujui kinachoendelea chini ya kapeti kumhusu huyo unayemtetea humu! Eti hawezi kusaliti! Unadhani Ile kauli yake kule msikitini Njombe ilimtoka TU Kama ushuzi wa MLA kande? Taga utataga TU, ni suala la muda!
 
Huyu mzee vipi? Eti kampeni za uchaguzi 2025; yaani matatizo yote ya nchini tulìyonayo yeye priority yake ni kazi ya ukampeni manager ?

Hawa ndiyo wazee tunaowategemea kuàngalia utoaji wa haki katika mifumo yote ya utawala, wanafikiri uchaguzi ambao Tume hiyo hiyo, mifumo hiyo hiyo ikamfanya mzee asifanye hata mkutano mmoja wa kampeni.
 
Sio kweli! Kuna watu wanakupinga nakukukoromea na wala huwezi wafanya kitu!

Magu na ubabe wake,alikua anafunga break kwa Ben na Pengo! Ben alikua na uwezo wakumchimba biti Jonh na akatulia!

Ben hakuwahi Mwita Magu Mh Rais,alikuaga anamwita John!
Magu alikuwa anamuogopa Makonda na Sabaya tu ndio zilikuwa injini zake zakuonea watu.
Ben Wil. Mkapa aliwahi kumuonya Mwendazake asiseme serikali ya Magufuli bali aseme serikali ya CCM ila Magu na genge lake wakamvimbia.
Na kifo cha Ben JK alilia sana maana alihisi vijana wa Mwendazake wamefanya yao.
 
Kam
Mnafiki na muongo mkubwa sio hjawahi kuhama bali alifukuzwa,CCM sio baba yake na sio chama chake , na yeye sio Mungu aache dhihaka naeipo siku atandoka, alifukuzwa akaend ACT na kugombea uraisi, kama angekuwa CCM angegombea kupitia ACT, naoana mnarudi Mungu anawaona.
 
Comrade Membe, Kachero Mbobezi, karibu tena CCM.
Hukuwahi kuondoka!
 
Usigeuze kibao mkuu kwa kusema uongo
 
Na wewe Crimea ni mtoto wa Ibilisi pia, mwanaizaya usiye na haya
Mjinga mkubwa!

Hao kina Membe ndio tuliaminishwa na kina Lisu kwamba wamefisadi hii nchi, leo mataahira kama nyie mnawaona wa maana?

Unafikiri ataeumia ni Magufuli na familia yake?

Ni bibi, babu na mama zako kule kijijini wanaoliwa na umasikini
 
Reactions: nao
OOgopaaa MTU ANAEMTEGEMEA MUNGU KILA SIKU HUWA APIGANI ANAPIGANIWA NA MUNGU NILILAANI SANA TUKIO LA KUMFUKUZA HON MEMBE

NAOMBA MAHAKAMA ITOE HUKUMU KALI KWA MUSIBA IWE FUNDISHO KWA CHAWA WOTE WANAOTEGEMEA BIN-ADAMU BADALA YA MUNGU

#WOTEMSEME AMEN
MSIBA/MUSIBA UNALO HATA FATTY AJAKAZIA HUKUMU UNALO 12 OCTB...YAANI JIANDAE KUMHESHIMU MUNGU UENDAKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…