Natamani wanipe Mimi nimfanyie torturing kenge yule,aliwavunjia heshima kina Kikwete na wazee Wengine wastaafu
Hakujitoa bali alifukuzwa!Siasa ni kazi ya hovyo kuliko upolisi, kama hajawahi kujitoa CCM aligombea urais kupitia ACT Wazalendo huku akiwa mwana CCM?
Umekumbuka kwa usahihiHakuhama bali alifukuzwa.
Umeshakula mihogo ya kukaanga hapo lumumba st? Au ulikuwa unasubiri niandike ili ujibu na kuongoza buku Saba ndio ukale? Acha mkurupuko wa kipimbi! Rudia kusoma hoja kabla ya kukurupuka! Na huenda hujui kinachoendelea chini ya kapeti kumhusu huyo unayemtetea humu! Eti hawezi kusaliti! Unadhani Ile kauli yake kule msikitini Njombe ilimtoka TU Kama ushuzi wa MLA kande? Taga utataga TU, ni suala la muda!Msukule wa magufuli wewe, majaliwa yuko pamoja na Samia, alikuwa Hana amani chini magufuli,
Kamwe hawezi kumsaliti mama, sukuma gang mtalimia meno
Sihasa 😀😀Hiyo ndiyo sihasa [emoji1787][emoji1787]
Magu alikuwa anamuogopa Makonda na Sabaya tu ndio zilikuwa injini zake zakuonea watu.Sio kweli! Kuna watu wanakupinga nakukukoromea na wala huwezi wafanya kitu!
Magu na ubabe wake,alikua anafunga break kwa Ben na Pengo! Ben alikua na uwezo wakumchimba biti Jonh na akatulia!
Ben hakuwahi Mwita Magu Mh Rais,alikuaga anamwita John!
Mnafiki na muongo mkubwa sio hjawahi kuhama bali alifukuzwa,CCM sio baba yake na sio chama chake , na yeye sio Mungu aache dhihaka naeipo siku atandoka, alifukuzwa akaend ACT na kugombea uraisi, kama angekuwa CCM angegombea kupitia ACT, naoana mnarudi Mungu anawaona.Salaam Wakuu,
Mwanadipromasia wa Kimataifa Bernard Kamillius Membe, amedai hajawahi kuhama CCM, bali ilifanyika fitini na watu wachache ambao sasa hawapo kwenye Utawala wa CCM ili asigombee urais wa 2020.
Leo Membe amepata nafasi ya kuongea katika ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa, na kusema hawezi kuongea chochote kuhusu hatima yake CCM kwasababu ya Kesi yake na Musiba ambayo Hukumu ni Tarehe 12 Oktoba 2021. Baada ya Hukumu hiyo ataongea na Wanahabari kinagaubaga kuelezea hatima yake ya kisiasa. "Sijawaji kujitoa CCM".
Waziri Mkuu alienda Lindi na kupata nafazi ya Kuzindua barabara Inayoelekea Kijijini kwao Membe ambayo inaishia Rondo Mnarani.
View attachment 1964176
Hon. Bernard K. Membe
Comrade Membe, Kachero Mbobezi, karibu tena CCM.Salaam Wakuu,
Mwanadipromasia wa Kimataifa Bernard Kamillius Membe, amedai hajawahi kuhama CCM, bali ilifanyika fitini na watu wachache ambao sasa hawapo kwenye Utawala wa CCM ili asigombee urais wa 2020.
Leo Membe amepata nafasi ya kuongea katika ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa, na kusema hawezi kuongea chochote kuhusu hatima yake CCM kwasababu ya Kesi yake na Musiba ambayo Hukumu ni Tarehe 12 Oktoba 2021. Baada ya Hukumu hiyo ataongea na Wanahabari kinagaubaga kuelezea hatima yake ya kisiasa. "Sijawaji kujitoa CCM".
Waziri Mkuu alienda Lindi na kupata nafazi ya Kuzindua barabara Inayoelekea Kijijini kwao Membe ambayo inaishia Rondo Mnarani.
View attachment 1964176
Hon. Bernard K. Membe
Usigeuze kibao mkuu kwa kusema uongoMagu alikuwa anamuogopa Makonda na Sabaya tu ndio zilikuwa injini zake zakuonea watu.
Ben Wil. Mkapa aliwahi kumuonya Mwendazake asiseme serikali ya Magufuli bali aseme serikali ya CCM ila Magu na genge lake wakamvimbia.
Na kifo cha Ben JK alilia sana maana alihisi vijana wa Mwendazake wamefanya yao.
Mjinga mkubwa!Na wewe Crimea ni mtoto wa Ibilisi pia, mwanaizaya usiye na haya
Duh!...kama haya ni ya kweli basi Rais wa awamu ya 5 alikuwa ni Ben.Sio kweli! Kuna watu wanakupinga nakukukoromea na wala huwezi wafanya kitu!..
We mama wewe😎😎CCM hata akigombea Kingwendu anaweza akawa Rais.
So kingwendu Hana haki kikatiba? Yaani Ina Mana yeye yukojeCCM hata akigombea Kingwendu anaweza akawa Rais.
Kweli kabisaaaa hakuna ubishi ila nasema hiv mwisho wao upoCCM hata akigombea Kingwendu anaweza akawa Rais.