Natamani wanipe Mimi nimfanyie torturing kenge yule,aliwavunjia heshima kina Kikwete na wazee Wengine wastaafu
Mshamba yule walidhani watabadili katiba jamaa yao aongoze milele watoto wa mjini wakatulia kimya kama hawapo kumbe wapo na sasa wamerudi viongozi wastaarabu hakuna tena matusi kwenye hotuba za viongozi wala hatufokewi hovyo kama watoto wadogo, mambo yako tulivu kabisa