Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Watanzania mkae macho na mkae chonjo. Nafunga bao la Ushindi dakika ya 89 kwenye Uchaguzi huu 2020

Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Watanzania mkae macho na mkae chonjo. Nafunga bao la Ushindi dakika ya 89 kwenye Uchaguzi huu 2020

Vyombo vya habari nawapa title za magazeti yenu kesho free of charge chagueni chochote

1. Membe akomaa katiba ya Act wazalendo izingatiwe yeye ndie mgombea wa Uraisi

2. Membe atofautiana na viongozi wa chama chake kuhusu kumuunga mkono Lisu

3. Membe asema yeye ni mgombea uraisi halali wa ACT wazalendo

4. Membe na mgombea mwenza wasema wao wagombea halali wa ACT wazalendo

5. Membe na mgombea wake mwenza wasema wataipa ushindi ACT Wazalendo wawape kura wao sio mgombea mwingine

5. Bundi atua ACT wazalendo Membe na mgombea Mwenza watofautiana na viongozi wa juu kuhusu kumuunga mkono Lissu
 
Tayari Membe anaifanya kazi ya CCM kwa weledi mkubwa.Kitendo cha ZITTO kusema kura yake ni kwa Lissu halafu yeye kakazia ni mgombea halali tyari yuko kazini.
 
Wapinzani gani hawa wasiojua mbele wala nyuma? Leo wanasema wanamsapoti Lisu, halafu anaibuka mwingine anasema mimi ndiyo mgombea urais wa ACT. What is the better way to describe this attitude than UTOPOLO at its best?
Andika kiswahili bhana,huu ni utopolo kiwango cha PhD.aaaaah!!!
 
Hahaha ajabu sana, mtu anawaita waandishi kuwaambia the obvious, bora niwe mwalimu wa chekechea kuliko kuwa mwandishi kama ndio hivi.
Shangazi yako mwenye title hiyo unayoiona ni underrated ndiye aliyekusomeshaga wewe mpaka ukawa na hicho unachoringia.

Acha dharau na kebehi bwanamdogo, pambaf!!!
 
Vyombo vya habari nawapa title za magazeti yenu kesho free of charge chagueni chochote

1.Membe akomaa katiba ya Act wazalendo izingatiwe yeye ndie mgombea wa Uraisi

2.Membe atofautiana na viongozi wa chama chake kuhusu kumuunga mkono Lisu

3.Membe asema yeye ni mgombea uraisi halali wa ACT wazalendo

4.Membe na mgombea mwenza wasema wao wagombea halali wa ACT wazalendo

5.Membe na mgombea wake mwenza wasema wataipa ushindi ACT Wazalendo wawape kura wao sio mgombea mwingine

5.Bundi atua ACT wazalendo Membe na mgombea Mwenza watofautiana na viongozi wa juu kuhusu kumuunga mkono Lisu
Mkuu umekubali kupigwa chenga na Jasusi mbobezi kirahisi hivyo. Subiri dk ya 89 (tr 27/10/2020) uone goli lake la ushindi tena goli la kisigino.
 
Shangazi yako mwenye title hiyo unayoiona ni underrated ndiye aliyekusomeshaga wewe mpaka ukawa na hicho unachoringia.

Acha dharau na kebehi bwanamdogo, pambaf!!!
Hahaha kama unavijiakili kumbuka ulirithi kwangu, mimi babu yako nilimzaa baba yako kisha nilichepuka upande wa pili nikamzaa mama yako.

Kuwa na adabu kwa wakubwa zako na uache matusi.
 
Hahaha kama unavijiakili kumbuka ulirithi kwangu, mimi babu yako nilimzaa baba yako kisha nilichepuka upande wa pili nikamzaa mama yako.

Kuwa na adabu kwa wakubwa zako na uache matusi.
Samahani Babu[emoji38] lakini niliona kama umemdharau mwalimu wa chekechea ndomana yakanitoka yote hayo, kumradhi!
 
"Ipo nadharia kwamba Vyama vikiungana vinaweza kushinda. Lakini katika bala la Africa, nadhalia hii haijawahi kufanikiwa.

Madikiteta wote wameangushwa na vyama binafsi. Afrika chama kimoja ndo huwa kinashinda sio vilivyoungana".
Membe umesema kweli tupu. CCM itashinda kwa kishindo.

Membe kapagawa huyo, Kenya hapo muunganiko wa vyama vya NARC ndio ulimtoa Dictator Moi na KANU. Kama ccm walitegemea cdm ingecheza blunder ya kumpokea Membe kama Lowassa, basi waandike wameukalia. Membe arudi tu ccm.

Kimsingi Membe ni mwanaccm, bali hana mahusiano mazuri na Magufuli, hivyo katafuta kichaka cha muda upinzani, lakini hana uwezo na maisha ya upinzani maana ujana wake wote kaumalizia ccm.
 
CCM si wakwenda nao kwa eti busara.

Hawa ni head on. Si waona kule bwana manoti somo limeshaanza kueleweka?

Zanzibar wakomae ya ZEC yote uyafanye 27 Oct.

Kama mbwai na ianzie hapo hapo. Hawa jamaa si wakukubalia kukwiba.

Maalim asingekubali kusimamishwa hawa ni mbwai tu!
 
Kwa hizi siku kadhaa zilizobaki huyu membe anahtaji ulinzi sana. Ili kwenda kukamilisha ushindi wa upinzani
 
Hata Mimi nimeusoma mchezo namna hiyo. Na kweli hilo litakuwa bao bora kabisa la mashindano la dakika ya 89.
Upinzani wa safari hii wamejipanga kisayansi au tuseme wameikuta timu ya CCM inayoongozwa na 3Zs (yaani zumbukuku watatu) imezubaa haijui kinacho endelea.
Kwa taarifa 3Zs ni;
Jiwe
Baa-shiru
Chakubanga.
Hebu sikia timu hiyo inaweza kuzungumza haya yafuatayo.


View attachment 1604995
Ila chadema ina watu wajinga jamani!

Yani Membe atangaze kumuunga mkono Lisu siku ya mwisho alafu ndio itasaidia nini sasa?
 
Maelezo mazuri sana ya Mh. Membe. Hakika jamaa ni mbobezi naamini atapindua meza dk za lala salama. CCM ikae chonjo kuukabili upinzani.

Hakika huu mwaka unaweza kuwa wa maajabu.

Ila ingenoga sana jamaa angebaki ccm watifuane na magu.
 
Ewe Mtumishi wa uma, siku ya tarehe 28 October 2020, chagua Tundu Lissu kwa maendeleo yako na ustawi wa maisha yako.

Usifanye makosa kuchagua tena Magufuli mwenye roho mbaya kwa watumishi wa umma (Miaka 5 bila nyongeza ya mshahara, bila ya kupandishwa madaraja, bila ajira kwa wahitimu wa vyuo, malimbikizo ya nauli na stahiki mbali mbali).
 
Back
Top Bottom