Mkuu mbona hutumi updates?Kutoka jijini LA Marekani tunawaletea matangazo ya moja kwa moja kwenye utoaji wa tuzo za BET 2021, mAstaa kibao wametua jijini hapa tayari kwa hafla hii kubwa duniani,ambapo macho na maskio ya watanzania na waafrika kwa ujumla yapo kwenye kipengele kigumu kinachowakutanisha miamba ya Afrika Diamond ni Sadala mzee wa Uber,WizKid na Burna Boy.
Stay tuned!!
Tuzo zinatolewa leo usiku kuanzia sa tatu.Mkuu mbona hutumi updates?
Sawa malaya wa LemaMbna mnajifariji sana nyie chawa wa domokaya? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleni kwa kuteseka, na mkiwa wapi? Khaaaah
Tuzo zinatolewa leoNi masaa 23 sasa tangu muanze kututangazia hitimisho la hizo tuzo na bado hatuoni matokeo Nani kashinda Nani kapigwa. Tafadhali tujulisheni nini ni nini twende Kanisani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo kwenye card ya Davido kwenye harusi, yeye domokaya alihudhuria km Mrs? MweeeeeehWatu wanasahau au ni kweli hawajui?
Wanasema Diamond kuingia tu pale ni mafanikio.
Hivi wanajua kama Diamond kashawahi shiriki BET category hii hii? Na wimbo alioupeleka ulikua Kesho?
Nakumbuka alishinda Davido, ambapo baada ya pale akaenda Nigeria akahudhuria harusi ya P Square akiwa na suruali ya mistari ya rangi nyeusi na nyeupe. Watu wakasema hakua na kadi alitumia kadi ya Davido iliyoandikwa Mr & Mrs.
Kama unakumbuka kuna kipindi zilitoka jeans za mistari nyeusi na nyeupe au bluu na nyeupe hizo jeans zilikua influenced na yeye alivyovaa hiyo siku.
So alishahudhuria yeye mwenyewe anaelewa anachohitaji ni ushindi na siyo kuishia kwenye nomination.
Unateseka sana poleee, kunywa maji mengi na u relax.Sawa malaya wa Lema
Hivi Kiba hajaalikwa kutumbuiza???
Nishatuma posa kwaoaya nakamura ameolewa?
2 Times Nominees ni More Markatable kuliko 1 time Nominee imgawa 3 Times Nominee ni bora zaidiWatu wanasahau au ni kweli hawajui?
Wanasema Diamond kuingia tu pale ni mafanikio.
Hivi wanajua kama Diamond kashawahi shiriki BET category hii hii? Na wimbo alioupeleka ulikua Kesho?
Nakumbuka alishinda Davido, ambapo baada ya pale akaenda Nigeria akahudhuria harusi ya P Square akiwa na suruali ya mistari ya rangi nyeusi na nyeupe. Watu wakasema hakua na kadi alitumia kadi ya Davido iliyoandikwa Mr & Mrs.
Kama unakumbuka kuna kipindi zilitoka jeans za mistari nyeusi na nyeupe au bluu na nyeupe hizo jeans zilikua influenced na yeye alivyovaa hiyo siku.
So alishahudhuria yeye mwenyewe anaelewa anachohitaji ni ushindi na siyo kuishia kwenye nomina
Lema anakula mashoga ?Sawa malaya wa Lema
Wenzako hawaangalii tu kushinda but impact yw kua nominated ni kubwa zaidi katika maendeleo ya mziki wake, dogo kaitumua vyema hii fursa.Domokaya hawezi kuchukua hii tuzo, labda dunia igeuke anga chini, ardhi juu.
aiseee kwa huu mkeka Diamond hatoboiBEST INTERNATIONAL ACT
View attachment 1830460
Muda utasema, Yamebakia masaa machacheaiseee kwa huu mkeka Diamond hatoboi
Tunampa double chance [DC] kwa maana anything can happen.aiseee kwa huu mkeka Diamond hatoboi