Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Ameajiriwa vipi? Yeye ni mjukuu wa Mwalimu,mtoto wa Anna Watiku Nyerere.Hapana, ameajiriwa kumlea mama wa taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameajiriwa vipi? Yeye ni mjukuu wa Mwalimu,mtoto wa Anna Watiku Nyerere.Hapana, ameajiriwa kumlea mama wa taifa
Ndio ameajiriwa kumlea bibi yake, analipwa mshahara kwa kazi hiyoAmeajiriwa vipi? Yeye ni mjukuu wa Mwalimu,mtoto wa Anna Watiku Nyerere.
Apewe ubunge viti maalumuNdio ameajiriwa kumlea bibi yake, analipwa mshahara kwa kazi hiyo
Atashindwa kumlea bibiApewe ubunge viti maalumu
Endelea kutudokezea mkuu!Usidhani bhoke yuko na bibi yetu ,yuko kazini pia
Mkuu kutakata, uchangamfu na furaha havijifichi!Hivi mtu unajitoaje ufahamu kutoa hitimisho kuhusu furaha ya moyoni ya mtu tena kuhusu matrimonial issues kama ndoa?!? Tunazidishaga ujuaji.
Tis?Endelea kutudokezea mkuu!
Ummy yule mwenye shingo ya upanga?
Tupia pic mwambaBint mzuri yule!!