Bi Harusi ashindwa kutembea, aona shimo na joka kubwa, ex wake adaiwa kumroga

Bi Harusi ashindwa kutembea, aona shimo na joka kubwa, ex wake adaiwa kumroga

Mkijitolea kutusomesha muwe na 50/50 ili ikitokea kama haya msiwe wenye kufanya maamuzi makubwa zaidi mana wengine huwa wanaishia kujidhuru wenyewe.
Ni majoka na mashimo kwa kwenda mbele... !!! Wengine mtatumbukia kabisa... Bladifulu
 
Sio hawakubali, inshu ni Kula cha MTU kwa miaka na miaka alafu unapotea.

My Bro mmoja ni mjeshi. Alimsomesha mwanamke aliyekua kafel kidato cha nne, akamtafutia Shule binafsi,, dem akaanza kidato cha kwanza.

Jamaa akasomesha huku anahudumia nakwao demu

Demu mpaka naingia kufanya MD pale MUHAS .


Akiwa mwaka 4 ,demu anamwambia, nimepata Daktari mwenzangu ivo hatuendan ... Kademu kakamuacha kimasihara kabisaa



BRO NUSURA AJIUE, MSAADA WA AKINA MAMA ZETU NA MA BROO WENGINE KUMSHAURI ,Ili chukua miezi karibu 6 ,baadae ndio akaoa Mwanamke mwengine.


Haya, sio tu Pesa na Muda...embu fikiria uwekezaj wa hisia aloufanya kwa demu miaka yote hiyo akijua ndio anamuoa??



HAWA VIUMBE, MSIWAONEE HURUMA, AKIFANYA UJINGA, MTENDE UJINGA...


kuna wanaume wakipenda,wanapenda kweli kwa dhati hasa hawa( Good Boy).


Mambo ya kijinga jinga fanyia bad boys , na kwa Bahati mbaya, Dem anamtenda good boy, sababu ampe K bad boy.


Mimi naona. MFANYA UBAYA, HAKIKISHA NAWEWE UMEMFANYA APITIE YALE MAUMIVU MABAYA.
Huyo Askari ni Kilaza, mm ningefanya mfano.
 
Hawana shukrani wala fadhila..wanasahau haraka sana wema
Shukrani na fadhila tunazo sana, ila kumsomesha mtu au kumsaidia mtu sio guarantee ya kumuoa jamani. Hebu muwe na utu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Shukrani na fadhila tunazo sana, ila kumsomesha mtu au kumsaidia mtu sio guarantee ya kumuoa jamani. Hebu muwe na utu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mi nakuvujisha damu milele, yani unaingia period kila siku za maisha yako, ukiolewa ladda ukazwe nyuma.
 
Matters of the heart..
C'est complique 🤷‍♀️
 
Tutafika tu huyo si wakwanza kuachwa, wengine wakiachwa hawatangazi
 
Kwani huwa mnashikiwa panga si mnatoa kwa mapenzi? Mapenzi yakiisha basi tulia wengine waendelee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si ndio hapo sasa!! Wanalazimisha waendelee kupendwa.
 
Shukrani na fadhila tunazo sana, ila kumsomesha mtu au kumsaidia mtu sio guarantee ya kumuoa jamani. Hebu muwe na utu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini asiseme mapema uamue kama utamsaidia au lah? Kama kweli hamna nia ovu?
 
Back
Top Bottom