Bi Harusi ashindwa kutembea, aona shimo na joka kubwa, ex wake adaiwa kumroga

Bi Harusi ashindwa kutembea, aona shimo na joka kubwa, ex wake adaiwa kumroga

Hiki ndicho kitakachompata bibie saaly siku ya ndoa yake baada ya kuamua kumuacha yule mume wa mtu aliyefanya uwekezaji kwake.
 
Point mkuu.,.
Sio hawakubali, inshu ni Kula cha MTU kwa miaka na miaka alafu unapotea.

My Bro mmoja ni mjeshi. Alimsomesha mwanamke aliyekua kafel kidato cha nne, akamtafutia Shule binafsi,, dem akaanza kidato cha kwanza.

Jamaa akasomesha huku anahudumia nakwao demu

Demu mpaka naingia kufanya MD pale MUHAS .


Akiwa mwaka 4 ,demu anamwambia, nimepata Daktari mwenzangu ivo hatuendan ... Kademu kakamuacha kimasihara kabisaa



BRO NUSURA AJIUE, MSAADA WA AKINA MAMA ZETU NA MA BROO WENGINE KUMSHAURI ,Ili chukua miezi karibu 6 ,baadae ndio akaoa Mwanamke mwengine.


Haya, sio tu Pesa na Muda...embu fikiria uwekezaj wa hisia aloufanya kwa demu miaka yote hiyo akijua ndio anamuoa??



HAWA VIUMBE, MSIWAONEE HURUMA, AKIFANYA UJINGA, MTENDE UJINGA...


kuna wanaume wakipenda,wanapenda kweli kwa dhati hasa hawa( Good Boy).


Mambo ya kijinga jinga fanyia bad boys , na kwa Bahati mbaya, Dem anamtenda good boy, sababu ampe K bad boy.


Mimi naona. MFANYA UBAYA, HAKIKISHA NAWEWE UMEMFANYA APITIE YALE MAUMIVU MABAYA.
Point mkuu...nmekuja kugundua dawa ya kuachana na dem uliempenda sanaa ni kumshawish kwa gharama yyte ile..akija geto piga misumari ya kutosha then kama una petrol choma nguo alizokuja nazo na umpe kichapo cha kutoshaa..hatokaa akusahau maisha yako yote..kama alikushahau kwa kumtendea mazuri basi abaki na kumbukumbu ya kukumbuka ubaya uliomtendea
 
[emoji3578].....Point hiyo nachukuwa[emoji116]
.......[emoji3578]kuwaloga waone nyoka
.......[emoji3578] kuwaloga waone shimo kubwa
Note:- mwanamke hasomeshwi, labda akasomee bible college il akikusarit akatangaze Neno
 
Back
Top Bottom