Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Miaka yote anasoma..anapokea magari inamaana hajajua tu....alipomaliza chuo ndo akajuaSasa angeamuaje wakati hajajua!! Nani anaijua kesho jamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka yote anasoma..anapokea magari inamaana hajajua tu....alipomaliza chuo ndo akajuaSasa angeamuaje wakati hajajua!! Nani anaijua kesho jamani?
Mambo hubadilika jamani.Miaka yote anasoma..anapokea magari inamaana hajajua tu....alipomaliza chuo ndo akajua
Inaonekana hata wewe ungefanya hivyo..Mambo hubadilika jamani.
hata roho wa Mungu anajua kazingua, angeomba msamaha kwanza na aandae a better plan ili yule mwanaume asiumie kiasi hichoAngekemea ...ndani ya Roho yake na kwa kutamka..jina la YESU linanguvu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Inaonekana hata wewe ungefanya hivyo..
😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo mwenye roho mbaya unadhani ni nani?Acha roho mbaya bwana.
Mamaeeee yaani ningevunja miguu kwanzia baba,mama mpaka na bby mwenyewe .Sio hawakubali, inshu ni Kula cha MTU kwa miaka na miaka alafu unapotea.
My Bro mmoja ni mjeshi. Alimsomesha mwanamke aliyekua kafel kidato cha nne, akamtafutia Shule binafsi,, dem akaanza kidato cha kwanza.
Jamaa akasomesha huku anahudumia nakwao demu
Demu mpaka naingia kufanya MD pale MUHAS .
Akiwa mwaka 4 ,demu anamwambia, nimepata Daktari mwenzangu ivo hatuendan ... Kademu kakamuacha kimasihara kabisaa
BRO NUSURA AJIUE, MSAADA WA AKINA MAMA ZETU NA MA BROO WENGINE KUMSHAURI ,Ili chukua miezi karibu 6 ,baadae ndio akaoa Mwanamke mwengine.
Haya, sio tu Pesa na Muda...embu fikiria uwekezaj wa hisia aloufanya kwa demu miaka yote hiyo akijua ndio anamuoa??
HAWA VIUMBE, MSIWAONEE HURUMA, AKIFANYA UJINGA, MTENDE UJINGA...
kuna wanaume wakipenda,wanapenda kweli kwa dhati hasa hawa( Good Boy).
Mambo ya kijinga jinga fanyia bad boys , na kwa Bahati mbaya, Dem anamtenda good boy, sababu ampe K bad boy.
Mimi naona. MFANYA UBAYA, HAKIKISHA NAWEWE UMEMFANYA APITIE YALE MAUMIVU MABAYA.
Mapenzi yakiisha basi wachape lapa, samaki kaliwa shombo la samaki lanini hapo [emoji3][emoji3][emoji3]Si ndio hapo sasa!! Wanalazimisha waendelee kupendwa.
Aseme nini wakati bado mnanyeng'enyana haa haa haa na mnachunwa haswa hakuna namna.Kwanini asiseme mapema uamue kama utamsaidia au lah? Kama kweli hamna nia ovu?
Shangaa hata wewe!Sasa angeamuaje wakati hajajua!! Nani anaijua kesho jamani?
Siyo ange, labda jamaa aliyefanyiwa nae kakaa kimya anapambana na maisha yake.Inaonekana hata wewe ungefanya hivyo..
Sasa wazazi wake wamekosa nini kama mlipendana nyie huko! sasa mmechokana wao watafanya nini!Mamaeeee yaani ningevunja miguu kwanzia baba,mama mpaka na bby mwenyewe .
Tena hii mimi naiona ni adhabu ndogo. Huyu Bibi Harusi ilitakiwa Gunia la mkaa limuhusu.Kweli kabisa, wafanye tu kuwa ni msaada wanatoa. Haya mambo ya kurogana ndio nini sasa?
Mlipiza kisasi.Hapo mwenye roho mbaya unadhani ni nani?
Likimuhusu ndio gharama zako zinarudi?Tena hii mimi naiona ni adhabu ndogo. Huyu Bibi Harusi ilitakiwa Gunia la mkaa limuhusu.