Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiyaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mapenzi yakiisha mrudishe
Mpaka wapate akili tayari upara mweupeNa mtaibiwa sana ndezi nyie!!!
kabisa!!Mpaka wapate akili tayari upara mweupe
Wanaume wa siku hizi ni wachawi sana,wanashinda kwa SangomaKweli kabisa, wafanye tu kuwa ni msaada wanatoa. Haya mambo ya kurogana ndio nini sasa?
😂😂😂😂😂Mapenzi yakiisha basi wachape lapa, samaki kaliwa shombo la samaki lanini hapo [emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂😂😂😂Na mtaibiwa sana ndezi nyie!!!
Mke anauma leo nikuwa nachat na jamaa flani tulisoma wote chuo, akawa ananiambia kuwa baada ya kufukuzwa kazi akafulia, rafiki yake flani akamnyanganya mke na kumuoa. Akawa anasema ipo siku ataenda iroga ndoa yao ivunjike. 😂😂Stori ya kushangaza nchini Rwanda imetokea, Bi harusi aliyetambulika kwa jina la Nadine anadaiwa kurogwa na Ex wake ambaye walipendana kwa muda mrefu na ndiye aliyemsomesha.
Inaelezwa kuwa jamaa alikuwa akimgharamia kila mahitaji yake yote, alimnunulia gari, viwanja ila mwishowe Nadine akamuacha baada ya kupata mwanaume mwingine.
Kilichotokea ni kuwa siku ya ndoa yake na mwanaume mwingine Nadine akajikuta akishindwa kupiga hatua baada ya kuelezwa kuwa alikuwa akiona shimo mbele yake.
Ghafla akaanza kupiga kelele kwa kile alichodai anaona nyoka na shimo kubwa la kutisha.
Ilikuwa ni kilio kwa familia yake siku hiyo na kwa Bwana Harusi mpya. Harusi ilikuwa chungu kwao.
Watu waliokuwa wanalifahamu penzi hilo la zamani la Nadine na ex wake wanaeleza kuwa huenda Ex huyo ndiye aliyefanya mambo kutengeneza mauzauza hayo.
Duuuu! Kumbe Mwanamke anauma ehh!
Halafu ukute kweli hawaendani ila ile kujitutumua kumpaka pesa ili ampende, atafute wa aina yake.Hiyo Ndio shida ya kudate good boys... Anakupenda utasema yeye ni baba mzazi bwana.... pendeni kishkaji jamani hii itafanya kupunguza matukio kama haya.
Wanaroga kweli wala si uongoWanaume wa siku hizi ni wachawi sana,wanashinda kwa Sangoma
[emoji23][emoji23][emoji23] ivunjike halafu aje kumrudia yeye, halafu mwanaume akiwa na pesa anyanyapae mkewe siku akifulia weee inakuwaga balaa si la nchi hii.Mke anauma leo nikuwa nachat na jamaa flani tulisoma wote chuo, akawa ananiambia kuwa baada ya kufukuzwa kazi akafulia, rafiki yake flani akamnyanganya mke na kumuoa. Akawa anasema ipo siku ataenda iroga ndoa yao ivunjike. [emoji23][emoji23]
Mimi nikamwambia mkeo ulikuwa unamtesa, ukpata mshahara hurudi home mpaka uishe, unaleta wanawake ndani sasa vipi tena.[emoji23][emoji23][emoji23] ivunjike halafu aje kumrudia yeye, halafu mwanaume akiwa na pesa anyanyapae mkewe siku akifulia weee inakuwaga balaa si la nchi hii.
[emoji23][emoji23] haaa kumbe ndiyo zilikuwa zake kumtesa mtoto wa wawatu kumuona hana pakwenda duu ngoja apate kivuli mtoto wawatu, sasa nayeye nakufulia kote huko pisi kali atalipata wapi[emoji3][emoji3], kaanza kubadilika baada ya pesa kuisha haa haa, wanasema pale unapoishia na Mungu huanzia hapo hapo, mpe pole na familia yake akaze moyo.Mimi nikamwambia mkeo ulikuwa unamtesa, ukpata mshahara hurudi home mpaka uishe, unaleta wanawake ndani sasa vipi tena.
Akasema ye kinachomuoma ni huyo jamaa tena rafiki yake kumuoa mkewe wakati alikuwa ashaanza badilika kuwa mwema
@Smart911Na mtaibiwa sana ndezi nyie!!!
Si huwa wanaamini eti pesa ndio kila kitu!!Hadi wapigwe na vitu vizito ndio wataelewaHalafu ukute kweli hawaendani ila ile kujitutumua kumpaka pesa ili ampende, atafute wa aina yake.
Na mke anamtaka jamaa japo kaolewa anamiss vagi za jamaa kumlaza njaa 😂[emoji23][emoji23] haaa kumbe ndiyo zilikuwa zake kumtesa mtoto wa wawatu kumuona hana pakwenda duu ngoja apate kivuli mtoto wawatu, sasa nayeye nakufulia kote huko pisi kali atalipata wapi[emoji3][emoji3], kaanza kubadilika baada ya pesa kuisha haa haa, wanasema pale unapoishia na Mungu huanzia hapo hapo, mpe pole na familia yake akaze moyo.
Ukikutana na mwanaume tafadhali mtulizie macho,Ukiona chale hata moja huyo Sio...Wanaroga kweli wala si uongo
Haaa haa tena cha utosi anaenda kulia na wazazi wake huko [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Si huwa wanaamini eti pesa ndio kila kitu!!Hadi wapigwe na vitu vizito ndio wataelewa