Bi Harusi ashindwa kutembea, aona shimo na joka kubwa, ex wake adaiwa kumroga

Mkijitolea kutusomesha muwe na 50/50 ili ikitokea kama haya msiwe wenye kufanya maamuzi makubwa zaidi mana wengine huwa wanaishia kujidhuru wenyewe.
Ni majoka na mashimo kwa kwenda mbele... !!! Wengine mtatumbukia kabisa... Bladifulu
 
Aaah wanaume jamani!!!hii roho mbaya mmeitoa wapi?
 
Mkijitolea kutusomesha muwe na 50/50 ili ikitokea kama haya msiwe wenye kufanya maamuzi makubwa zaidi mana wengine huwa wanaishia kujidhuru wenyewe.
Kweli kabisa, wafanye tu kuwa ni msaada wanatoa. Haya mambo ya kurogana ndio nini sasa?
 
Huyo Askari ni Kilaza, mm ningefanya mfano.
 
Hawana shukrani wala fadhila..wanasahau haraka sana wema
Shukrani na fadhila tunazo sana, ila kumsomesha mtu au kumsaidia mtu sio guarantee ya kumuoa jamani. Hebu muwe na utu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Shukrani na fadhila tunazo sana, ila kumsomesha mtu au kumsaidia mtu sio guarantee ya kumuoa jamani. Hebu muwe na utu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mi nakuvujisha damu milele, yani unaingia period kila siku za maisha yako, ukiolewa ladda ukazwe nyuma.
 
Matters of the heart..
C'est complique 🤷‍♀️
 
Tutafika tu huyo si wakwanza kuachwa, wengine wakiachwa hawatangazi
 
Kwani huwa mnashikiwa panga si mnatoa kwa mapenzi? Mapenzi yakiisha basi tulia wengine waendelee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si ndio hapo sasa!! Wanalazimisha waendelee kupendwa.
 
Shukrani na fadhila tunazo sana, ila kumsomesha mtu au kumsaidia mtu sio guarantee ya kumuoa jamani. Hebu muwe na utu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini asiseme mapema uamue kama utamsaidia au lah? Kama kweli hamna nia ovu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…