Jonsonjohn
JF-Expert Member
- Nov 19, 2019
- 258
- 349
Achana na watu pambana hali yako mambo ni mengi muda mchache,kila mtu na maishayetu,Asante nimeishapata mwanga pana features nyingi za kuanzia watu kama sisi kitu kingine mifumo ya zamani kama unavyosema wameua kabisa nangoja angalau nipokee hata elfu 20,000 kwenye simu yangu nitaku PM, tatizo kuna baadhi ya watu hapa if wanajifanya wanajua kila kitu cha dunia hii kumbe ni uzuzu tu unawasubua nawashauri wajifunze kutoka kwako na baadhi ya watu walionisaidia badala ya kunitukana matu ya nguoni nadhani kila mtu mwenye akili timamu anapaswa kukemea hii tabia ya matusi na ujuaji kuna watu hapa JF wanafikiri wanajua kilakitu cha Dunia hii kumbe ni ujinga tu uwezi kukariri kila kitu kilichopo Dunia bora mtu ukaa kimya na kujifunza hawa jamaa wamenikwaza sana.
kunawatu waingiza pesa kwakutukana wezao yah wako kazini usijali mambo yatakaa sawa
Dunia tumeisha hamia kwenye mifumo wa biashara wa ki-digital wenzio ndyo kwanza wanaamka kwenye nfumo wa analogy .