Hii imekaaje naomba maelezo ikikupendeza mkuuInawezekana kabisa. Unaweza ukafanya business kama winga kwenye maduka ya lumumba mle vijana kibao hawana mitaji ila wanapiga hela kwa kutumia uaminifu madukani mle.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii imekaaje naomba maelezo ikikupendeza mkuuInawezekana kabisa. Unaweza ukafanya business kama winga kwenye maduka ya lumumba mle vijana kibao hawana mitaji ila wanapiga hela kwa kutumia uaminifu madukani mle.
Unakuwa dalali tu unakamata mteja unamfanyia kazi yake akikulipa unaenda kulipia vifaa dukaniHii imekaaje naomba maelezo ikikupendeza mkuu
Link iko hapo juuSamahani nawezaje kujiunga na huduma hii
Jisajili kwenye website maelezo yote yako waziNaomba kueleweshwa zaidi kuhusu huu mchakato bro
Habari wadau,
Biashara gani naweza kufanya bila mtaji nikapata pesa nyingi, mwenye kujua nisaidie mawazo.
Bila mtaji huwez,, unachomaanisha ni moneyless capital.Habari wadau,
Biashara gani naweza kufanya bila mtaji nikapata pesa nyingi, mwenye kujua nisaidie mawazo.
Tupe linkJisajili kwenye website maelezo yote yako wazi