Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Mtoa mada hizo post zako za nyuma [emoji622]
Si ulikuwa na mtaji wa mill 50, hatimaye imefika 100,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine tunahangaika kupata mtaji wa laki 5 tu
Walau nipate faida ya elfu 20 kwa siku
Mwingine ndo hivyo
Kweli Mungu alijua kutuweka kwenye matabaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo siriasi kweli unataka kuwekeza m100 upate laki 2 kwa siku? Mbona iyo return ndogo?
Biashara yenye faida kubwa ni biashara yenye mtaji mkubwa. Faida unayoizungumzia wewe unatakiwa utoe hapo Kodi, Mshahara wa wafanyakazi wako, Matumizi madogo madogo kama umeme, nauli na chakula nk. Ushahuri wangu kama mfanya biashara, duniani hakuna shortcut, wewe kama unadhania faida inatengenezwa kirahisi utajikuta watu wanakushauri na hawana background na biashara, hawana elimu ya biashara na ulivyouliza ni jambo la busara ila inaonyesha huna elimu ya kutosha ndio maana umeomba ushauri...
Ushauri wa zaida, fanya biashara unayoiweza na uliyo na ujuzi nao, biashara za kuambiwa utapata hasara kubwa mno kama huna uzoefu nazo. Anza biashara hata kama ni ndogo kwa kuwa una ujuzi nayo utafika mbali sana. Na una nafasi ya kukuza biashara yako kuwa kubwa zaidi. Bakhresa katoka kaitoa bishara ya kuuza maandazi kutoka mtaa kwa mtaa mpaka imekuwa ni bishara kubwa na anauza nchi nzima wakati wengi wanalenga mtaa mmoja. Ila kwa ndoto zake na udogo wake kaufanya kwa makubwa...
Mie nilianza na shilling elfu 2 ila nimehangaika kwa miaka minne, ila nimenunua viwanja nimeweza kujikimu kimaisha na vitu vingi vyenye thamani ya mamilion ambayo sikutegemea kushika back then...
Ila kwa million 100 afu hujui unataka ufanye nayo nini, manake labda hela ya urithi ila kama ungekuwa mtafutaji mda mrefu ungeweza kujua unachotaka kufanya. Kuwe serious na ukibabaika itakugharimu...
Usimsikilize huyo anayekudanganya kuhusu pikipiki hiyo ni biashara ya kupuuzi mnoo achana nayo kabisa. Kwanza piki piki mpya zinaibiwa sana na hap hajakuwekea hesabu ya service na vingine. Biashara ya kichwani ni tofauti na ya mtaani haiendi ivyo...
Last advice:
Invest in different businesses with that 100m, and stop thinking on profit of 200,000 per day. As your businesses grow you will make much more than what you invested in
Lakini mleta mada ulishawahi kufanya biashara yoyote walau ukaweza kulaza hata buku ten kwa siku?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada hizo post zako za nyuma [emoji622]
Si ulikuwa na mtaji wa mill 50, hatimaye imefika 100,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada hizo post zako za nyuma [emoji622]
Si ulikuwa na mtaji wa mill 50, hatimaye imefika 100,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mfanyabiashara mkuu kupita hapa haina maana sina uzoefu na biashara.unajua haya mambo jaribu kujifunza kila siku kwa watu wengne
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliwahi kua nastationery mashine ya copy ikazingua nikabadili gia angania nakufanya iwe playstation center, ilinigarimu 500k tu kuikamilisha, nilikua nalaza 20k-25k kwasikuMimi ni graduate toka Mlimani Nina biashara ya play station kwa mtaji wa 2M..kila baada ya siku 10 napata 100k na hiyo ni kwa outset 1..kama nikiwekeza 20×2M=40M,,10k×20=200,000/= for 40M..na hiyo yote ni almost profit maana pesa inayoingia yote ni deposited matumiz mengine ni nje ya hiyo per day..
Pia napanga kufungua Car Wash kwa 2M nauhakika wa kupata 50k per day kwa office moja nikiosha gar 10tu ....kila la kheri