Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kama ukipata taarifa sahihi na connection ya kutosha kwa wahusika wenyewe utajua ukweli wote. Ila kwa sasa na hali ilivyo naona ishu za dhahabu zina pesa. Ila mpaka upate ujuzi na connection sahihi. Narudia tena ni kuwa ishu za dhahabu zinapesa nyingi mno ila inabidi upate ujuzi na connection ya kutosha.
NB: Mimi sina connection wala ujuzi.
Hahahaha hatrrMkuu kubet dk 90 tu
Sasa ulitakiw uwe unapelelza uanzee kupeleka mwwnye mzigo.niliona wschina wanaichkua sana lushotoKwanza ukiachana na mazao ambayo serikali inasimamia haya mengine unakula faida 100% bila TRA kunusa. Hii ni tundu ambalo TRA wataliziba baadae sasa hivi liko wazi.
Usinifuate mimi mazingira ya soko na shamba hayawezi kuwa sawa.
1. Shamba liwe lako.
2. Lenye rutuba sio kila kitu lazina uweke mbolea
3. Chanzo cha maji cha uhakika
4. Shamba liweze kufikika kama sio hapo au jirani tu.
5. Soko.
6. Hicho unacholima utauzia shambani au utagharimia kupeleka kwenye soko au mnunuzi.
7 pia kulima kwa simu na kutuma hela hakufai kama huwezi kujihusisha mwenyewe achana na kilimo. Kama una mind degree yako pia kaa pembeni, kule shamba unakutana na watu kila aina.
Mimi nililima mihogo na kabla ya kulima nilikuwa na maongezi na mkataba na kampuni iko mwenge wao walikuwa wanapeleka mhogo china.
Kwa hiyo nililima fresh tu wakataka mhogo niukatekate kama slesi za 5cm halafu nikaushe baadae wakaniletea viroba vya 50kg nijaze.
Kukata kata ikawa shida. Wakaniazimisha mashine ya kukatakata na jenereta bure nikaa kaa nazo wiki 2.
Nilitengeneza mhogo tani 2 wakaja wakaufwata mzigo shambani kwa gharama zao.
Hela waliingiza kwenye akaunti ndani ya siku 4.
Sasa hivi nimewakimbia bei wameshusha sana haina maslahi. Nataka kulima kitu kingine.
Kilimo usiige ile ujifunze halafu unaboresha kwako .
Mkuu mbegu unanunua wapi? Na wanauzajeHakuna tena wengine wote tunagombaniana buguruni , huu mhogo wachina sio wanakula wanafuata starch na kuna mbegu maalum yenye starch nyingi.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kuna kikampuni cha wachina 2016 walisema limeni mihogo kwa wingi tutanunua kilo 1000/= wana wakajaa wakaja moro kwa fujo wakalima hatari...mhogo ulipokomaa wakanunua kwa shilingi MIA...narudia..shilingi MIA..hahaa wapi shogangu Shoma...alidata balaa[emoji1787][emoji1787]..cheza michezo yote sio mchezo wa soko la TZ
unazinunua wapi ili uuze upate na faida mzuri.?Uza nguo kariakoo hasa matishirt na mashatu , trucksut
Nikaona mtu anapenda kuandika Kiswaenglish na viashiria vya kujifanya anajua sana hua kumdharau na kumpuuza kama mtu mjinga mjinga tuUnajua Milionea bado maisha yako yatakuwa ya kawaida kwa Tanzania ?, Unless otherwise upo UK au USA na unaongelea Dollar au Pounds...
Pia sustainability je ni vitu vya msimu au once you are settled umemaliza ?, Kwa nchi kama bongo kila kitu kinabadilika kila kukicha kwakweli shughuli nyingi ni bahati nasibu... (vitu vingi ni unpredictable) ukizingatia mambo mengi sustainable yanahitaji long term plans..., sasa utaplan vipi long term wakati kesho anaweza akaja chizi akabadilisha kilichopo leo?
Vizuri..unapozinunua China unanunua unatakiwa kuwa na kiasi gani cha fedha kuanzia, mfano garama za usafirishaji, kodi za TRA nk.Je njia rahisi ni ile ya ndege au meli ?Unanunua china unazisafirisha mpaka bongo unauza
Biashara ya aina gani mkuu .Anzisha biashara, ajiri watu wakufanyie kazi kubwa kwa ujira mdogo sana na wengine wadhulumu kabisa...
Utakua millioner ndani ya muda mfupi sana...
Labda cha maua.Kilimo gani hicho? Wewe unafanya hicho kilimo chenye kuingiza hela nyingi kwa muda mfupi?
Mkuu ungetoa ufafanuzi kidogo, kwa mfano kuanzisha biashara ya madini unatakiwa uwe na ntaji kiasi gani? Vibali vya kufanya hivyo ninavipata ofisi gani?Madini.
Kilimo cha maua kinafanyikaje mkuu?Labda cha maua.
Hiki kilimo kinafanyika wapi duniani maana tanzania hakiruhusiwwi.Bangi ya bongo haina ubora unaotakiwa labda upate mtaalamu wa kukusaidia kama yule mzungu wa Arusha.
Ukifanikiwa kuvuna bangi kama Ile ya Swaziland "dagga" umeyaweza maisha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nchi zote duniani hazijafika 200
Zipo 195 tu au mkuu umeihesabia na chato