Biashara imenishinda, nimerudisha fremu ya watu

Biashara imenishinda, nimerudisha fremu ya watu

Bznes n kaz nzur na n kaz ngum.. inahitaj mda wa kuifatilia km n mwajiliwa ufatiliaj wako n ngum kuwepo kweny biashara yako

Yakulazm kufanya biasahara ambayo haitakuhitaj uwepo mda wotee mfano


Biashara ya Bodaboda hiii haihitaj kuwepo unachotakiwq n kumpata kijana mweny familia na kuingia nae mkataba ambae tayal anafanya hyo kaz


10m unapata boda 5 at once tvs /boxer inategemea na bei wakat huo ila inaanza na 2.4m 2.5m hapo umepeta na punguzo


Ukiweka GPS lak1- lak1.5 then mkataba wa miez 10 kila cku elf 15 kwa mwez 450,000k

450,000*10=4,500,000/=
4,500,000*5=22,500,000/=

22 n baada ya miez kum Haya chukulia kwa mwaka tuu Yan miez 2 iwe ile ya usumbufu wakat ya malejesho

Changamoto zipo ila n ku take risk na changamoto zake n kutopata mwaminifu
Ishu ya kuibiwa ipo ila GPS kidogo inapunguza na inasaidia uwezekano wa kuipata
GPS Arusha napata wapi?
Je ya piki piki ni maalumu tofauti na bajaji na gari? Au mtu unaweza funga chombo chochote hiyo hiyo?
 
Acha masiara watu tuna mitaji ya laki tano familia zinaishi raha mstarehe na bia tunagonga na michepuko inakura bata

Sababu hamfanyi biashara za uchuuzi.

Biashara za uchuuzi ni tofauti na biashara za value added ama biashara za productions.

Biashara za kuuza duka ni uchuuzi 100% ambapo kuifilisi ni dakika tu.

Milioni 10 sio nyingi kwenye uchuuzi
 
Hizi biashara za uchuuzi zisikie tu...kama sehemu ulipo mzunguko ni mdogo lazima uangukie pua hasa ikiwa kila kitu unategemea hapo hapo...

Mimi baada ya biashara yangu ya hardware kufa, nimekaa pemben kwa muda sasa hata nikirudi nitafanya biashara ya kutoa services.
Hardware ulianza na mtaji wa sh ngap
 
Bznes n kaz nzur na n kaz ngum.. inahitaj mda wa kuifatilia km n mwajiliwa ufatiliaj wako n ngum kuwepo kweny biashara yako

Yakulazm kufanya biasahara ambayo haitakuhitaj uwepo mda wotee mfano


Biashara ya Bodaboda hiii haihitaj kuwepo unachotakiwq n kumpata kijana mweny familia na kuingia nae mkataba ambae tayal anafanya hyo kaz


10m unapata boda 5 at once tvs /boxer inategemea na bei wakat huo ila inaanza na 2.4m 2.5m hapo umepeta na punguzo


Ukiweka GPS lak1- lak1.5 then mkataba wa miez 10 kila cku elf 15 kwa mwez 450,000k

450,000*10=4,500,000/=
4,500,000*5=22,500,000/=

22 n baada ya miez kum Haya chukulia kwa mwaka tuu Yan miez 2 iwe ile ya usumbufu wakat ya malejesho

Changamoto zipo ila n ku take risk na changamoto zake n kutopata mwaminifu
Ishu ya kuibiwa ipo ila GPS kidogo inapunguza na inasaidia uwezekano wa kuipata
Siku hizi bodadoda inaleta 15,000 kwa boss? Bajaji je?
 
Kama bado unahitaji kufanya biashara nicheki pm andaa mtaji wa 1.5M, ukija pm nimiadi yakuonana tukutane live tuzungumze.
 
Kwa hiyo milion 10 ni mtaji mdogo? Kwa hiyo mtaji sahihi wa kuanzisha biashara ni shi ngapi?
Hajasema Biashara Gani mshaparurana mara hautoshiii mara kiasi Gani kina faa ....KIMFAACHO MTU CHAKE ....kiwango Cha mtaji ni DETERMINATION YAKO TOWARDS IT..... Hata ungekuwa na milioni 100 if ur not determined to it , u won't make it.
 
Mimi nilianza na laki 7 bidhaa za nyumbn na miamala 2.5...jamaa mmoja swahiba wangu akaniambia nijiunge na biashara ya forever..nikatoa laki 7...hela angu ikazama....

Mtaji wa miamala nilionao Sasa Ni m1 na kamisheni huwa napata above laki2 per month...

10m ni mtaji mkubwa Sana ...inategemea unafanyia wap na biashara gani..
Ukajiunga na wale .....Good morning Billionaire.....
 
Mkuu, miezi mitatu ya mwanzo nilikuwa nakaa mwenyewe. Nikawa na shughuli nyingine ya kufanya, nikamleta mdogo wangu wa damu kutoka mkoani, ndio kuja kushtuka duka limebaki 3.2m
Ulikuwa haufanyi Stock-Taking angalau Kila wiki!!?? Mpaka mtaji na supplies zinakuwa depleted Mzee kiasi mpaka 3.M!!? Ulipunguza umaini na kumuamini dogolasi.
 
Usiseme jamaa wako ingiza mtaji wako ndio utajua bodaboda ikoje hyo biashara ni pasua kichwa wanaoiweza ni matajiri unakuta ananunua bodaboda 300 alaf anazigawa kwa vijana na hela anazo za kutosha ukileta zengwe anachukua chombo chake na wewe ukiendelea kuleta mdomo unajikuta upo polisi.
Wenzangu na sisi bora ufungue tu biashara nyingne utapata nafuu sio hyo.

Nilicho kisema nina ushahid nacho achilia mbali hao jamaa ila nami pia Nafanya hyo biashara

Huwa Iko hv utapata wazo la kufanya biashara Au kutofanya aina flan ya hyo biashara kutokana tu kwa yule alie wahi Au anaefanya hyo biashara
 
Kila jioni anaenda benki kupanga foleni ku deposit 15,000/= ???

Haya n makubalina kat ya mmiliki na deleva kwa cku n ngap

Sio lazma iwe hyo hata elf 5 ukitaka n sawa hii n nyinyi wa2

Na kumbuka mkataba wa bajaj n kuanzia miaka 2 Mpaka miaka 2 na miez 2,3
 
HV biashara ya kuuzaelctoronic imekaje haswa vifa vya umeme
 
Back
Top Bottom