Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Mwenye milioni 300 anakuwaga hivi?
 
Walengaji tuko nao kitaa huku na kila siku tunawanunulia k-vant Sasa sjui hesabu hizo hawazionagi au la?😄😄

Kulenga gari uwe na bahati sana.. kulenga labda ulenge kiwanja ama nyumba kabisa. Na viwanja vya kulenga ukauza haraka ni vile vya prime area vya milioni 50 ama milioni 100. Sehemu zimeshaendelea tayari.. sio ulenge viwanja vya milioni 3 ama 5 mbali na mji. Uuziii haraka.. hadi usubiri mji ukue miaka mbele
 
Pole sana mkuu!!!Nadhani choice ya aina ya biashara, Mimi ninewekeza sh M7 kwenye kisteshenari changu napata faida ya laki 900,000 kwa mwezi,nawaza kununua mashine kubwa ya kuchapa mabango Mungu akinijaria uzima ndani ya miaka mitano ijayo, ambapo nimeulizia nikaambiwa mashine hiyo Ni zaidi ya 10M.

Hakika mtu akiniuliza biashara ipi inalipa Mimi nitamwambia steshenanari, hasara Ni ndogo Sana, na tena naweza sema Ni zero
 
Idea ya bond ni kumuondoa kwenye risk anayocheza nayo saa hii ,
 
Una mtazamo chanya sana, moja ya kanuni kuu ni kuwa usitage mayai yote kwenye kiota kimoja.
Kama una biashara tatu na haziingiliani ni, mfumo mzuri sana umejiwekea .
 
Challenge kwa kutupia uzoefu mkuu faida kwa wote..me mwenyewe najichanga nianze na scania 113 ya kuvua mtu [emoji16] niko kwenye hiyo circle naona tender zinavolipa..tupe uzoefu wako Boss [emoji120]!
Usiguse mkuu, utakufa na presha ndugu yangu
 
Anaepata 5m per month kwa mtaji wa 300m, anapata faida nzuri.
Hasa kama anatoa ajira kwa watu, hiyo pia ni faida.
Nope, kwa maelezo aliyoyatoa ni vigumu kumpa ushauri. Hajaeleza anafanya biashara gani, ana muda gani katika hiyo biashara, yupo eneo gani na stock anapata wapi. Wateja wake ni akina nani. Issue za kodi yupo vizuri?
Ndio maana sijamshauri. Ni biashara inayotegemea misimu(seasonal).
Simshagai, watanzania bado tuna changamoto nyingi mojawapo ikiwa kama hii. How could you put such a huge amount of money in a business that is New to you?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…