Biashara ipi rahisi kuiendesha hata ukiwa mbali?

Biashara ipi rahisi kuiendesha hata ukiwa mbali?

Waafrica kila mwenye pesa anawaza kufanya biashara. Biashara ni Hobby, Biashara inahitaji spirt kubwa sana, Biashara inamuhitaji mwenye wazo awe intact kwenye eneo la biashara ili kuendeleleza ile wazo yake.

Sasa watu wanajidanganya kwamba anaweza muweka Mke/mme/Baba/Mama/KAka/Dada/Mjomba/Shangazi/Shemeji/Baba mkwe/Mama mkwe wasimamie wazo, hii ni kujidanganya, hao hawajui lolote sio initiator wa wazo.

Ndioa maana wakina Mengi au wakina Bagharesa walianza kusiamamia wazo lao hadi walipo fikia levo za juu kabisa za kufanya deligate.

Sasa wewe day one ya Biashara yako inaanza na kukaimisha mtu, hio biashara haitafika kokote kule

Kama huwezi/huna muda wa kusimamia wazo lako nakushauri hizo pesa nunua hata bond za Serikali tu, la sivyo utazika pesa zote na utakuja lilia chooni kilio cha kujuta.Biashara za kupiga simu sio biashara.
Mkuu jitahidi sana kupunguza mawazo HASI mtu anapo omba ushauri

Biashara yoyote ile ni risk taking.... hata ukiwa na passion na ukasimama mwenyewe bado sio guarantee kwamba utafanikiwa

Kila nikikumbuka jinsi watu kama wewe walivyonikatisha tamaa nilipotaka kuanzisha biashara yangu nikiwa kibaruani huwa nabaki nacheka tu........ leo hii nina vibiashara vyangu zaidi ya 5 napiga simu tu na maisha ya songa kiroho safi
 
Una Tsh 50,000,000/= unazotaka kutumia kama mtaji wa biashara lakini muda wako wa kuisimamia kwa karibu sana ni finyu. Labda unakuwa huru wiki moja tu kila mwezi, siku zingine zote za mwezi unakuwa busy na shughuli zingine.

Mtu kama huyo anaweza kuianzisha biashara gani?

Labda:
1. Mghahawa?
2. Hardware?
3. Duka la nguo?
4. Duka la vifaa vya umeme?
5. Duka la simu?
6. Kiwanda cha juisi?
7. Huduma za kifedha kama uwakala wa M-PESA, AIRTEL MONEY, HALOPESA, BANK?
8. Biashara gani hasa?

Utatumia mbinu gani ili kuweza kuisimamia kikamilifu hata ukiwa mbali?
Kama una kiwanja maeneo fikika..
Jenga vikota vyako viwili, weka wapangaji, nenda kashinde huko unakoshindaga. Au ujenge nyumba moja yenye unit tatu za wapangaji.

Hakikisha unaujua ujenzi. Hiyo hela inatosha, ila kama huujui, utagalagazwa uache mapagale.
 
Una Tsh 50,000,000/= unazotaka kutumia kama mtaji wa biashara lakini muda wako wa kuisimamia kwa karibu sana ni finyu. Labda unakuwa huru wiki moja tu kila mwezi, siku zingine zote za mwezi unakuwa busy na shughuli zingine.

Mtu kama huyo anaweza kuianzisha biashara gani?

Labda:
1. Mghahawa?
2. Hardware?
3. Duka la nguo?
4. Duka la vifaa vya umeme?
5. Duka la simu?
6. Kiwanda cha juisi?
7. Huduma za kifedha kama uwakala wa M-PESA, AIRTEL MONEY, HALOPESA, BANK?
8. Biashara gani hasa?

Utatumia mbinu gani ili kuweza kuisimamia kikamilifu hata ukiwa mbali?
Mkuu hili swali huwa ni gumu sana kwasababu linategemea mambo mengi sana

Kama ndio unaanza jaribu kufanya utafiti eneo unalotaka kuanzisha hiyo biashara kwa sababu ukikosea tu itakula kwako

Biashara zote zinalipa ni juhudi zako za kutanbua fursa ipo eneo gani na kupata mtu sahihi wa kusimamia

Mimi biashara yangu ya kwanza Ilikua hardware kwasababu eneo nililojenga wakati huo ujenzi ndio ulikua umepamba moto na cement tulikua tunafuata mbali sana
Nilianza na mifuko 70 tu..... the rest is history
 
Una Tsh 50,000,000/= unazotaka kutumia kama mtaji wa biashara lakini muda wako wa kuisimamia kwa karibu sana ni finyu. Labda unakuwa huru wiki moja tu kila mwezi, siku zingine zote za mwezi unakuwa busy na shughuli zingine.

Mtu kama huyo anaweza kuianzisha biashara gani?

Labda:
1. Mghahawa?
2. Hardware?
3. Duka la nguo?
4. Duka la vifaa vya umeme?
5. Duka la simu?
6. Kiwanda cha juisi?
7. Huduma za kifedha kama uwakala wa M-PESA, AIRTEL MONEY, HALOPESA, BANK?
8. Biashara gani hasa?

Utatumia mbinu gani ili kuweza kuisimamia kikamilifu hata ukiwa mbali?
Bora uchukue ela yako uweke utt maana bila uwepo wako utakuja kulia kilio cha mbwa aliyepigwa jiwe. Watu si waaminifu haijalishi ni ndugu wala marafiki.
 
Acha vitisho na kutisha watu mnakuwa na mentality za kuwaaminisha watu kuwa Biashara ni za watu fulani .
Sio za watu fulani zina principa zake, sio ukiwa na pesa tu unawaza Biashara, Ndio maana kuna wengine wanaamua tu kuwekeza kwenye kununua hisa za makampuni au Bond za Serikali na wanakula mdogomdogo.
 
Mkuu hili swali huwa ni gumu sana kwasababu linategemea mambo mengi sana

Kama ndio unaanza jaribu kufanya utafiti eneo unalotaka kuanzisha hiyo biashara kwa sababu ukikosea tu itakula kwako

Biashara zote zinalipa ni juhudi zako za kutanbua fursa ipo eneo gani na kupata mtu sahihi wa kusimamia

Mimi biashara yangu ya kwanza Ilikua hardware kwasababu eneo nililojenga wakati huo ujenzi ndio ulikua umepamba moto na cement tulikua tunafuata mbali sana
Nilianza na mifuko 70 tu..... the rest is history
🙏🙏🙏
 
Biashara kuendesha ukiwa mbali inawezeakana lakini shida kuu ni kukosekana Kwa kitu kimoja tu
UAMINIFU.
kama hutoibiwa ama kudokolewa faida basi itaibiwa jumla
Utakuwa umechezea mtaji wako tu.
Biashara inahitaji uwepo wako ndipo itaenda Kwa ufanisi
Japo watu waaminifu wapo lakini namna ya kuwapata Sasa
Sasa tufanyaje na hii mitaji yetu?
 
Nashukuruni kwa mawazo na michango yenu! Lakini bado najiuliza, kama ni lazima niisimamie kwa karibu sana, inawezekanaje watu wengine wakawa na biashara karibia kila mkoa? Inawezekanaje watu wengine wanamiliki biashara hata chi za nje na bado zikafanya vizuri bila uwepo wao mahali pa biashara? Au kwa vile biashara zao ni biashara kubwa?
 
Back
Top Bottom