Habari ndugu zangu, natumaini mu wazima wa afya.
Mimi mdogo wenu nahitaji kujihusisha na biashara ya dagaa ila sijawa na maarifa ya kutosha hivyo naomba mwenye ujuzi wa anajihusisha na biashara hii anisaidie maarifa ili nisijekujikuta napatwa na changamoto kidogo nakimbia..
Nipo tayari hata kulala nje au ziwani mradi nifanikishe malengo japo mtaji wangu ni laki mbili nikijitahidi sana inaweza kuwa 220,000.
Naomba mchanganuo kidogo na MUNGU Awabariki wenye kunipa mwanga,,, (wale wa matusi na kejeli najua mtajitokeza ila leo kwangu kesho kwenu kila mtu anafungu la wajibu anaoutenda.)
Ahsante na karibu kwa maoni yenu wakuu.
Kwa mawasiliano ya direct/WhatsApp 0769321005