Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kubwa watu wengi wananunua gari mbovu,utaona ata hapa JF mtu ana tsh 7ml anatafuta hiace super roof!!!pindi dereva atapoleta taarifa ya kwamba gari imeharibika anasema dereva mbaya/mwizi nk.
Kibiashara gari nzuri ni manual ambayo ni disel ambalo ni expensive kuliko petroli automatic,hiyo biz ni nzuri maana kila dakika watu utoka sehemu moja kwenda nyingine sasa kama una gari nzuri na msimamizi mzuri utaipenda..hesabu ya daladala kwa Kigamboni Dar ni 60,000/siku.Ukinunua gari nzuri ukalipia kila kitu ili dereva asipate mwanya wa kusema amekamatwa hana kibali cha sumatra au sababu nyingine yoyote faida ni kubwa kuliko hasara,hasara kama umenunua mbovumbovu maana kila siku ni spare na fundi.
Wajanja na wanaofanikiwa na hii biashara wananunua gari ambalo halijafanya kazi huku yaani injini bado mpya haijafunguliwa (ndio kwanza limeagizwa).., wanalifanyia kazi likisharudisha pesa yake tu wanaliuza na kununua jingine. Hapo wanahakikisha gari haliwasumbui, (gari likishaanza matatizo linakuwa haliingizi tena bali linatumia tu..)
:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:Wajanja na wanaofanikiwa na hii biashara wananunua gari ambalo halijafanya kazi huku yaani injini bado mpya haijafunguliwa (ndio kwanza limeagizwa).., wanalifanyia kazi likisharudisha pesa yake tu wanaliuza na kununua jingine. Hapo wanahakikisha gari haliwasumbui, (gari likishaanza matatizo linakuwa haliingizi tena bali linatumia tu..)
biashara naomba muongozo kuhusu biashara ya daladala kwa mkoa wa iringa. Nina mtaji wa milioni kumi na moja, na daladala nayoihitaji ni hiace super roof.. Waungwana I need a potential.....