Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Hizi hesabu za jamaa na mtizamo wake sio mbayal.
Lakini kuna watu wana gari karibia 20 njiani na huna la kuwaambia kuacha kazi hii.
Kwa ufupi inalipa.Huwezi kusema kwamba Services ya gari na kodi ndio tatizo,vyote hivyo ni wajibu.Wewe mwenyewe unahitaji ufanyie services baadhi ya siku itakuwa gari.
Tatizo ni kwamba mtu akiona 20m anona pesa nyingi sana akitaka imlipe mapema.Ndio maana watu wanakwama hapo.Na wengine mkinunua kigari basi madem wote wajue unagari.
Kwa ufupi hakuna daladala amabayo inafika mwaka haijarejesha Pesa.
Mie ninauzoefu kwenye Vi Carry na Bodaboda.
Yaani miezi 11 pesa yote imerudi,sasa jamaa sijui hesabu zako unazitoa wapi.
Lakini kuna watu wana gari karibia 20 njiani na huna la kuwaambia kuacha kazi hii.
Kwa ufupi inalipa.Huwezi kusema kwamba Services ya gari na kodi ndio tatizo,vyote hivyo ni wajibu.Wewe mwenyewe unahitaji ufanyie services baadhi ya siku itakuwa gari.
Tatizo ni kwamba mtu akiona 20m anona pesa nyingi sana akitaka imlipe mapema.Ndio maana watu wanakwama hapo.Na wengine mkinunua kigari basi madem wote wajue unagari.
Kwa ufupi hakuna daladala amabayo inafika mwaka haijarejesha Pesa.
Mie ninauzoefu kwenye Vi Carry na Bodaboda.
Yaani miezi 11 pesa yote imerudi,sasa jamaa sijui hesabu zako unazitoa wapi.