Zingatia ushauri wa bu'yaka.Ila kama bado utaitaji kufanya hiyo biashara usiwe msimamizi tafuta mtu mzoefu ya hiyo biashara akuunganishe na wale vishoka wa stand ambao unasaini nae mkataba unamkabidhi gari kwa mapatano ya wewe unataka sh ngapi mfano laki 7 kwa mwenzi ikifika mwisho wa mwezi ndio mnaonana na makataba useme njia ni zipi na je gari likionekana nje ya hizo route iweje.Ila ukubali kuchakachuliwa.Miji mingi wapo watu wanaendesha maisha kwa dili hizo anakuwa na gari za mpaka watu kumi.kila gari akiiba hapo elfu 10 mara kumi mara mwezi.