Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 758
Mkuu kila kitu kina challenges zake maana hata ukitaka kuanzisha kibanda cha mama ntilie lazima watu watakuja hapa watasem kila kitu kibaya.
In fact hii biashara ina chngamoto kama alizosema mkuu hapo juu, lakini cha msingi ni kukaa na kutafuta dereva mzuri na ikumbukwe kuwa hata dereva yupo kazini so wewe unatakiwa kupata chako, na gar ipo katika hali nzuri.
Mfano mimi namiliki Hice tatu hapa Arusha mwanzo nilihangaika kupata dereva mzuri nilipoanza na gari moja 2010 na ilinichukua miezi mitatu nikampata dereva ambaye mpaka leo ninae na ni mwaminifu kwa gari angu 100% hata akinambia nimepata special ya mbeya namwambia mimi niletee pesa kazaa tu chapa mwendo, anaenda na kurudi na mkwanja wangu na gari full tank. huyu pia alitafuta hawa wengine niliponunua gari na wako poa sana.
Kazi kwangu huwa nikitoka kazini ni kupitia shell na inapofika mida ya saa mbili kamili hadi saa mbili na dk 15 huwa wote wameishafika wanajaza mafuta nikiwepo na wananipa pesa yangu, wanapaki gari.
In fact hii biashara ina chngamoto kama alizosema mkuu hapo juu, lakini cha msingi ni kukaa na kutafuta dereva mzuri na ikumbukwe kuwa hata dereva yupo kazini so wewe unatakiwa kupata chako, na gar ipo katika hali nzuri.
Mfano mimi namiliki Hice tatu hapa Arusha mwanzo nilihangaika kupata dereva mzuri nilipoanza na gari moja 2010 na ilinichukua miezi mitatu nikampata dereva ambaye mpaka leo ninae na ni mwaminifu kwa gari angu 100% hata akinambia nimepata special ya mbeya namwambia mimi niletee pesa kazaa tu chapa mwendo, anaenda na kurudi na mkwanja wangu na gari full tank. huyu pia alitafuta hawa wengine niliponunua gari na wako poa sana.
Kazi kwangu huwa nikitoka kazini ni kupitia shell na inapofika mida ya saa mbili kamili hadi saa mbili na dk 15 huwa wote wameishafika wanajaza mafuta nikiwepo na wananipa pesa yangu, wanapaki gari.
