Biashara ya Daladala: Ushauri na Mbinu za Uendeshaji Wake

Biashara ya Daladala: Ushauri na Mbinu za Uendeshaji Wake

Kwa huo mtaji wa kununua Hiace moja sikushauri kabisa, utajuta maana mwanzoni utapata pesa baada ya muda si mrefu pesa uliyopata itatumika kumunua spea, Taili na kama utakuwa umeitumia ile pesa uliyoipata awali basi uwe tayari kuweka juu ya magogo mpaka upate pesa ya spea na kaka yangu anamiliki daladala 4 anadai zinasumbua yeye ikiharibika moja nyingine ndo zinaibeba katika matengenezo.
 
Nilichokiona ni wivu tu wa hao wanaomiliki daladala, kwamba hawataki wengine wafanye biashara hiyo...maana kama mtu ana magari mengi ambayo kayanunua kwa nyakati tofauti kwanini hakukatishe wewe tamaa...kila biashara inachangamoto zake......Biashara yoyote inahitaji nidhamu ya matumizi ya pesa na uvumilivu ....inalipa kaka
 
Hapo ndipo chanzo cha tatizo. Hivi unajua chombo kinachoka kadiri kinavyotembea? Licha ya kumpangia kiasi cha kukuletea iwe kwa siku au wiki, vile vile uhakiki wa kilometa ni lazima. Hapo ndipo watu wengi wanashindwa.

hakuna kisichochoka. Hata computers tunazotumia pia zinachoka.
 
Ndugu yangu naomba ufuate ushauri wangu usijaribu kufanya biashara hii labda uwe unaendesha mwenyewe binafsi nilishajaribu tena kwa gari mpya kabisa niliambulia hasara ambayo sitaisahau pia biashara hii inahitaji ufuatiliaji mkubwa hapo barabarani sizani kama utakuwa namuda wa kufata gari uwache shughuli za kipato usijaribu hizo pesa ni bora ukatafuta mahali pa kuwekeza.
 
ndugu yangu naomba ufuate ushauri wangu usijaribu kufanya biashara hii labda uwe unaendesha mwenyewe binafsi nilishajaribu tena kwa gari mpya kabisa niliambulia hasara ambayo sitaisahau pia biashara hii inahitaji ufuatiliaji mkubwa hapo barabarani sizani kama utakuwa namuda wa kufata gari uwache shughuli za kipato usijaribu hizo pesa ni bora ukatafuta mahali pa kuwekeza

Mi nadhani unatakiwa kumwambia kilichofanya ukaanguka ili ajipange namna ya kukabiliana nacho na sio kumwabia aache...maana kuna watu wanafanya biashara hii na wanafanikiwa.....wewe ulishindwa lakini wapo walioweza.
 
Mi nadhani biashara yoyote ila faida na hasara zakr na cha msingi ni management ya operations zako. Kuna wakati niliwaomba ushauri watu kuhusu ufugaji wa kuku wa mayai, watu waliniponda sana wakanikatisha tamaa kuwa, "kuku wakipata ugonjwa noma, na mengine mengi" lakini ikafika wakati nikafumba macho na kununua vifaranga 750 kweli nilipata shida lakini nashukuru mungu walibaki 697 na sasa napata mayai hadi 688 per day na napatra cash yangu kama kawaida.

Kama daladala zina hasara kwa nini bado zipo barabarani? kuna jamaa yangu alinunua toka mwaka 2009 hadi leo inapiga mzigo na yeye anaendelea na mambo yake mengine. Nashukuruni kwa ushauri wenu na mimi ngoja nifanye research nzuri ili nijue nitasimamiaje inipe faida.
 
Si kwa Arusha mjini ni pressure.

Peleka babati kule sasa hivi mteremko kwanza barabara nzuri na hakuna sumatra bei wanajipangia tu.

Umbali wa kilomita 5 watu wanalipa elfu moja na haina maelezo hiyo.
 
Hii biashara ni nzuri kama utanunua hiace mpya (naamanisha used kutoka japan), lakini kama utanunua gari ambazo zimeshafanya na zanaendelea kufanya hii kazi basi tegemea ugonjwa wa moyo.

Mi nna miliki daladala, nimempa mzee wangu ili aisimamie kwa kuwa mi nipo nje ya bongo. Kwa kweli hii biashara inahitaji uvumilivu sana,kuna kipindi unapata sana pesa lkn gari ikiianza kusumbua utalia.

Ukinunua gari mpya, ndani ya mwaka mmoja utarudisha pesa yako na faida utaiona,gari utakayonunua isiwe ya chini ya mwaka 2003,iwe imetembea si zaidi ya km 50,000.
 
hii biashara ni nzuri kama utanunua hiace mpya(naamanisha used kutoka japan),lakini kama utanunua gari ambazo zimeshafanya na zanaendelea kufanya hii kazi basi tegemea ugonjwa wa moyo.
mi nna miliki daladala,nimempa mzee wangu ili aisimamie kwa kuwa mi nipo nje ya bongo...kwa kweli hii biashara inahitaji uvumilivu sana,kuna kipindi unapata sana pesa lkn gari ikiianza kusumbua utalia.
ukinunua gari mpya,ndani ya mwaka mmoja utarudisha pesa yako na faida utaiona,gari utakayonunua isiwe ya chini ya mwaka 2003,iwe imetembea si zaidi ya km50,000


mkuu inakwenda kama shilingi ngapi hiyo?
 
Me nakushauri ukalime tikiti maji tu, daladala utalia ndugu yangu. Kwanza matatizo yataanza pale utakapouziwa daladala kimeo. Utaanza kulia hata kabla gari haijaingia barabarani
 
Mkuu nimeifanya hii biashara magari mawili nime quit..

a. Inalipa sana lakini wewe uwe dereva mwenyewe kama huwezi ni kazi kidogo angalia b.

b. Madereva wanatembeza gari ili kupata zaidi, huwa by mchana amemaliza kazi ya tajiri, anampa dereva mwingine day worke amletea hizo zake sasa..(uchakavu, uwizi na uharibifu wa mali) kama unaweza kumeza yote hayo ..angalia c.

c. Uwe na ABC ya mambo ya gari na spea zake, ni rahisi sana kwa dereva kuiba spea za gari lako, kuwekewa spea mbovu na garage wakakausumbua..

kwa ufupi kila aina ya umafia uko kwenye transport business hasa mabasi na daladala ndio kabisaaaaa..

NB. inalipa saaaaaaana..kama hizo changamoto utazimudu..nimekuwa dereva for 4 yrs nimepata mtaji wa kutosha ni ofisi nzuri ajabu..kama unatumia gari yako mwenyewe...ila wasijue wataharibu gari (mafia)
 
Sina hakika kwa Arusha, lakini kwa Dar biashara ya daladala inalipa sana. Hata hivyo, sikushauri kununua Hiace au gari la aina yoyote especially daladala toka kwa mtu unless uwe unaifahamu vizuri historia ya gari husika.

Gari nyingi, hususani zilizowahi kutumika kama daladala zinakuwa vimeo ile mbaya hata kama utakuta machoni zinapendeza! Nyingi, kabla hawajaziingiza sokoni, huwa kwanza wanazipeleka board na zikitoka hapo utaipenda tu. Tena ogopa zaidi kununua gari za aina hiyo toka maeneo ya chumvichumvi....coastal areas kv dar na znz. Na kama unazani ni lazima ufanye hiyo biashara, basi chunguza kwanza mashine.

Kama ni kimeo basi refrain frm kubadilisha kifaa kimojakimoja piga chini mashine mzima na iingize sokoni hata kama utaiingiza as a scraper kisha weka mashine nyingine used. However, make sure unanunua mashine used madukani na sio kwa m2. Usisahau kubadilisha Gear Box na Pump....hivi vyote viwe toak kwenye maduka ya vifaa used.

Be Careful, kuna maduka mengine wanauza mashine used ambazo zimetolewa kwenye magari ya hapa hapa Bongo; kwamba unakuta mtu gari yake ipo written off, anachukua mashine anapeleka kwenye maduka yanayouza vifaa vya magari ambavyo used. Kwa hiyo 8M yako, unapaswa kuweka pembeni extra 5M kwa ajili ya ku-cover hizo expenses endapo unataka kufanya hiyo biashara kwa amani.

To cut story short, 8M ni pesa ndogo sana kuweza kupata Hiace nzuri therefore, ili uweze kuifanya hiyo biashara vizuri ni lazima uwe na addition 5M. Don't forget, kama mashine sio mzuri, usithubutu kubadilisha kitu kimoja kimoja; piga chini de whole engine!

WISH U ALL THE BEST
 
Sina hakika kwa Arusha, lakini kwa Dar biashara ya daladala inalipa sana. Hata hivyo, sikushauri kununua Hiace au gari la aina yoyote especially daladala toka kwa mtu unless uwe unaifahamu vizuri historia ya gari husika. Gari nyingi, hususani zilizowahi kutumika kama daladala zinakuwa vimeo ile mbaya hata kama utakuta machoni zinapendeza! Nyingi, kabla hawajaziingiza sokoni, huwa kwanza wanazipeleka board na zikitoka hapo utaipenda tu. Tena ogopa zaidi kununua gari za aina hiyo toka maeneo ya chumvichumvi....coastal areas kv dar na znz. Na kama unazani ni lazima ufanye hiyo biashara, basi chunguza kwanza mashine...kama ni kimeo basi refrain frm kubadilisha kifaa kimojakimoja....piga chini mashine mzima na iingize sokoni hata kama utaiingiza as a scraper kisha weka mashine nyingine used. However, make sure unanunua mashine used madukani na sio kwa m2. Usisahau kubadilisha Gear Box na Pump....hivi vyote viwe toak kwenye maduka ya vifaa used....Be Careful, kuna maduka mengine wanauza mashine used ambazo zimetolewa kwenye magari ya hapa hapa Bongo; kwamba unakuta mtu gari yake ipo written off, anachukua mashine anapeleka kwenye maduka yanayouza vifaa vya magari ambavyo used. Kwa hiyo 8M yako, unapaswa kuweka pembeni extra 5M kwa ajili ya ku-cover hizo expenses endapo unataka kufanya hiyo biashara kwa amani.

To cut story short, 8M ni pesa ndogo sana kuweza kupata Hiace nzuri therefore, ili uweze kuifanya hiyo biashara vizuri ni lazima uwe na addition 5M. Don't forget, kama mashine sio mzuri, usithubutu kubadilisha kitu kimoja kimoja; piga chini de whole engine!

WISH U ALL THE BEST

Mkuu hiace mpya inaenda kwenye shilingi ngapi? Manake hizo za kununua vifaa naona kama ngumu vile....
 
Hiace nzuri used, uwe na zaidi ya m16 hivi. Utapata used from japan.

Kama kwa mtu bongo isipungu 12m ndo inaweza kuwa hiace nzuri.

Ila kaka kama huna pesa za ziada,za matengeneza au emegency. Usifanye hiyo biashara is very risk. Unaweza kuanza kuuza viwanja vyako vote,baadae utaanza vitu vya ndani.

Kiufupi biashara ya gari si nzuri kama huna pesa za kutosha au biashara nyingine ya kusapoti.

Either wewe uwe fundi,na uendeshe gari mwenyewe. Faida utaiona.

Kumbuka ukate insurance comprensive.

Ukimpa dereva atakuletea pesa utaweka mfuko wa shati, utazitolea gereji kwa mfuko wa suruali.

Be careful, is very risk bussiness..
 
anyway kuwa entrepreneur inahitaji kuingia hata choo japo ni kichafu.....nilipata Hice ya 11M na kweli matengenezo yapo tu hata ukiimport frm Japani zinazouzwa $6000+ lazima uandae kama $3500 ama 4000$ za kutengeneza sasa hapo 20M+ inakuhusu kwa sasa hivi.
 
" lakini ikafika wakati nikafumba macho na kununua vifaranga 750 kweli nilipata shida lakini nashukuru mungu walibaki 697 na sasa napata mayai hadi 688 per day na napatra cash yangu kama kawaida,
.

Hongera sana kwa muujiza huo wa kupata mayai asilimia 99 ya kuku ulio nao kwa siku!.
 
Habari zenu wana JF,

Nilikuwa nafikiria kuanzisha biashara ya daladal, nataka kujua ni namna gani mwenye daladala nchini anavyoweza kujua mapato ya biashara yake wakati muda wote anamuachia dereva na kondakta kufanya biashara? Huwa
anajuaje ni kiasi gani wameingiza kwa siku?
ahsanteni
 
Biashara pasua kichwa hii mkuu!

ila mara nyingi wenye daladal huwa tunapiga hesabu ya kutwa pamoja na wese!, mfano kwa siku inaweza kua 150,000 pamoja na mafuta full tank, sasa kama dreva na konda watapiga 200K au 300K hiyo ni juu yao, lakini changu kiko palepale labda siku wasifanye kazi. ila hawa dreva na konda huwa wanapiga hela sana, ndani ya miaka miwili wanaweza na wao kutoka na daladala lao au wakashusha mijengo yao kupitia ndinga lako!

lakini ni biashara ngumu yenye kuhitaji watu ambao hawajaajiriwa, maana dreva anaweza kukwambia ndinga imekamatwa sehemu na wewe upo job huna au huwezi kutoka na kwenda huko utafanyaje?
 
Back
Top Bottom