MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,006
Sasa sinasikia mabasi ya kasi yanakuja bongo watu wa biashara ya daladala nasikia wanaanza kuziuza kiaina zikiwa zinalipa sasa angalia usiigie mkenge
Mkuu nimekupata, nitatafuta habari zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa sinasikia mabasi ya kasi yanakuja bongo watu wa biashara ya daladala nasikia wanaanza kuziuza kiaina zikiwa zinalipa sasa angalia usiigie mkenge
Usijidanganye kufanya biashara ya Daladala ,wewe kama siyo dereva wa hilo dala dala,basi uwe inspecta wake,ukae kituo cha basi linalopita ili uwe unawaona na kuhesabu tripu zake.
kama unapesa bora ununue canter/fuso ndogo ili ufanye biashara ya shamba na ukodishe hilo gari lako.
mimi namiliki daladala najua wizi wake ,hvi sasa nataka kuziuza niwe mfugaji fulltime
Usijidanganye kufanya biashara ya Daladala ,wewe kama siyo dereva wa hilo dala dala,basi uwe inspecta wake,ukae kituo cha basi linalopita ili uwe unawaona na kuhesabu tripu zake.
kama unapesa bora ununue canter/fuso ndogo ili ufanye biashara ya shamba na ukodishe hilo gari lako.
mimi namiliki daladala najua wizi wake ,hvi sasa nataka kuziuza niwe mfugaji fulltime
wizi ni popote mkuu. Kikubwa ni kuangalia kama unaletewa mahesabu kamili.
Mfanyakazi yeyote unapombana na yeye ndio anazidi kutafuta mbinu za kuibia kwa kukukomesha.
. Maana hakuna mwajiriwa ndo maana watu wanaishi kwa mishahara midogo.
Naombeni msaada kwa hili. Nimefanikiwa kupata mtaji sehemu, nikaamua nifanye investment kwenye daladala na sehemu kununua shamba Visiga. Katika pilikapilika za kuitafuta gari inayomudu mazingira ya daladala nikakutana na jamaa mmoja ambaye amenidiscourage kabisa kuhusu hiyo biashara kwamba kama nataka kufa kwa presha basi niingie huko! Jamani kama kuna anaufahamu na hii biashara naomba msaada japo imeshaniingia akilini kabisa kuwa lazima niifanye.
hizo sita alizinunua kwa wakati mmoja au? Kama alikuwa ananunua moja moja usumbufu alikuwa hauoni hadi awe anaongeza idadi!Kuna jamaa yangu anazo kama 6 ivi ila ananiambia chonde chonde ussiingie uku heri utafute biashara ingine nkimuuliza why ananiambia zina usumbufu wa kufa mtu waweza chinja mtu.
Na akanipa mfano wa dreva wake mmoja ambae kwa sasa anamiliki GX100 apo ndo nkachoka.
Wadau mtujuze yaliyomo kwa hii biashara as personally naiona inalipa
inalipa sana kama utakaa mlangoni mwenyewe
kwanini ukae mlangoni mwenyewe? We mpangie dereva kiasi anachotakiwa kuleta kama ni per day au week huku unaendelea na mambo yako.