bluetooth
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 4,402
- 2,550
mkuu .... mimi niliwahi kuwa na nissan caravan mwaka jana nili import direct from japan ... niliitumia kwa matumizi yangu mwenyewe...hii gari ni nzuri sana ...fuel consumption and mechanically it is very robust ....
cha kushangaza alikuja mfanyabiashara mmoja kutoka Arusha akaiona hii nissan caravan nimeipaki sehemu moja pale sinza akasimamisha gari yake akaulizia mwenye gari na baadae akanipata .... aliitaka hii gari na kesho yake alinipa pesa niliyotaka cash na kuipeleka arusha ...hizi nissan caravan zipo nyingi sana Arusha ... na ndizo zipo popular aka vi fodi au kama daladala za dar ... niliuliza ni kwa nini nissan na siyo Toyota haice nikaambiwa nissan ni ngumu na vumilivu sana na pia kwa arusha spea zinapatikana kwa urahisi Nairobi na ni genuine spare parts
cha kushangaza alikuja mfanyabiashara mmoja kutoka Arusha akaiona hii nissan caravan nimeipaki sehemu moja pale sinza akasimamisha gari yake akaulizia mwenye gari na baadae akanipata .... aliitaka hii gari na kesho yake alinipa pesa niliyotaka cash na kuipeleka arusha ...hizi nissan caravan zipo nyingi sana Arusha ... na ndizo zipo popular aka vi fodi au kama daladala za dar ... niliuliza ni kwa nini nissan na siyo Toyota haice nikaambiwa nissan ni ngumu na vumilivu sana na pia kwa arusha spea zinapatikana kwa urahisi Nairobi na ni genuine spare parts