Biashara ya Kamari: Mbadala wa Dawa za Kulevya?

usijaribu mkuu.., nenda kafanye uzalishaji Mali na huduma tafadhali, taifa linakutegemea!

Wakafanye uzalishaji wapi hawana creativity ya business idea, Any profitable project, Hawana mitaji hata akibett akapata 10m ataenda samaki samaki after one week atarudi betting tena.
 

Hakyanani hujaacha,wewe unajifaragua tuu.
 

Kitaalum aina yoyote ya mchezo wa kamari unapoucheza kwa muda mrefu na ikiwa ndo kipaumbele chako kwa kila sekunde, saa, siku, wiki, mwezi, miezi, mwaka n.k tayari unakuwa umeathirika na unakuwa tegemezi wa kamari, hapo ndo mtu tunasema amekuwa na "GAMBLING ADDICTION" na inatibiwa kama aina ya ADDICTION YOYOTE kama ulivyotoa mfano wa dawa za kulevya, na mi naongezea pombe (alcohol), ngono (sex), sigara (nicotine), wizi, umbea, ulafi (greed), kiherere (co-dependency), chuki (jealousy), hasira (anger), manunuzi na matumizi (buying & spending), kazi (work), matumizi ya kahawa (caffeine), ugomvi (violence), dini (spititually), wasiwasi (worry), mawazo mgando (riggid thinking), chakula (food), mapenzi (love), nk mengine unaweza kuongezea.

Kuhusu "methadone" hii ni dawa inayotumiwa wa waathirikiwa wa madaya ya kulevya hasa cocaine na heroine kupunguza hamu (craving) ya dawa hizo, pia kitaalum nazo ziko katika mfumo wa dawa (drug) so ukitumia kwa muda mrefu pia nazo ugeuka kuwa tegemezi kwa mgonjwa na kusababisha ADDICTION, kwa maana hiyo nazo zinatakiwa kutumiwa kwa uangalifu na kwa usimamizi kwa hali ya juu toka kwa mtu mwenye taaluma hasa ya masuala ya utegemezi wa vitu (addiction) kwa bahati mbaya hapa nchini watu wanatumia hizo dawa bila ya hiyo tahadhari matokeo yake baada ya muda tutegemee WATU WALIOACHA DAWA ZA KULEVYA LAKINI WAKIWA TEGEMEZI WA DAWA YA "METHADONE" KWA MAISHA YAO YOTE.

Mwisho kwa mwathirika wa michezo ya kamari "GAMBLING ADDICTION" huyu hutumii methadone, bali anahitaji kitu kiitwacho recovery program from gambling addiction kutoka kwa wataalum wa saikolojia ambao kwa nchi za wenzetu wanapatika katika hospital za rufaa au vituo vya maalum vya uangalizi wa watu kwa muda maalum (sober house or rehabilitation centres)
 
Ndiyo nilimwambia mleta uzi Mwanzoni Kuwa uwe teja, mchezo kamari, kufuta sigara, kupiga chabo, kupiga nyeto,kula sana. ..addiction zote hizo Ktk recovery program watibiwa Au kupewa somo wakiwa pamoja.
 
Wakafanye uzalishaji wapi hawana creativity ya business idea, Any profitable project, Hawana mitaji hata akibett akapata 10m ataenda samaki samaki after one week atarudi betting tena.
Hiyo ni kawaida kwao ni kama ajira kwao
Na syo betting tu hiyo ya mpira, Kuna watu wanacheza kamali za makasino wanapiga hela ndefu wanaishi maisha ghali wanafilisika wa narudi tena...hayo Ndiyo maisha waliyoyachagua
 
Hiyo ni kawaida kwao ni kama ajira kwao
Na syo betting tu hiyo ya mpira, Kuna watu wanacheza kamali za makasino wanapiga hela ndefu wanaishi maisha ghali wanafilisika wa narudi tena...hayo Ndiyo maisha waliyoyachagua

Mrangi
Maisha waliyoyachagua? Sidhani. Wengi waliingia kwa bahati mbaya tu. Wakajikuta wanashindwa kutoka.

Nenda pale las vegas, legrande, new africa, princess, sea cliff, etc, uone watu walivyoathirika na compulsive gambling. Kamari ni janga. Hizo betting za mpira hela yake ni ndogo. Kwenye makasino ni habari nyingine.
 

Hongera kwa kutokuwa mraibu bado.

Ila tofautisha uraibu na matumizi, unaweza kuwa mtumiaji wa kamari, sigara, madawa, pombe na usiwe mraibu. Uraibu huanza polepole hadi gari inakolea... Mahali ninapoishi niko na sehemu ya kubet jirani na kwa vile mimi ni mpenzi wa soka tunakutana na makamaria mabandani.

Kuna watu wameathirika mwanangu, muda wote wanawaza mikeka, wanashinda huko na hawataki kazi za nguvu kwa kuwa kamari ile ina ahadi ya fedha kubwa bila jasho.

Kamari inaleta matumaini ya 'ipo siku' hivyo kuwafanya vijana kutoheshimu fedha ndogondogo wanazopata hapo kwa imani kuwa ipo siku mkeka utajibu atapata milioni kadhaa!
 
my point exactly..!
 

Huko ni balaa watu wanaacha mpaka magari na wanaweza nyumba bond kamari hiyo
 
Ni kawaida kwa addicts kujifariji.., we muelewe tu..
 
Yaan walikupa wewe access ya database zao uangalie mauzo yao na wewe ukaamini.., kwa hesabu za haraka haraka tu, hizo data ni za uongo!
 
Yaan walikupa wewe access ya database zao uangalie mauzo yao na wewe ukaamini.., kwa hesabu za haraka haraka tu, hizo data ni za uongo!

wewe dogo hata hujui unaongelea nini utajua mwenyewe kaombe tra data zao kama unabisha
 
Mwenye masikio na asikie!

 
mkuu huo ni ukweli kabisa hata mimi nimekua ni muhanga wa hii kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…