Yote hiyo ya nini?Una milion 5 hapo
Take it from meHabari. Kuna ndugu yangu kaniomba nimfungulie banda la kuonyeshea mpira. sehemu ipo shida sijajua vipengele Muhimu vya kufata. mfano tv ziwe size ngapi na aina gani na kutokana na kukatikakati kwa umeme ninatakiwa kununua generator la ukubwa gani na mwenye kujua price anaweza akanisaidia ili niweze kutengeneza budget. Naomba mnisaidie najua huku jamii forum ni kisiwa cha wajuzi wa vitu mbali mbali. TV Ziwe za mtumba au new?
ufungwe na kina Nani?Kama ni EPL na unatumia dstv wakijua unaweza kufungwa.
Labda utumie Arab sat etcl
asanteTake it from me
Mimi ndo biashara ninayoifanya maeneo ya Chanika nina flatscreen 2 za mtumba inch 43 bei 1*600,000/= nina banda kubwa mabenchi nina Generator kingMax 5500 dx ving'amuzi ninavyo saba dstv 3 azam 2 startmes 2
dukani cjajua bei gani mimi nilinunua kwa mtu kwa laki 2asante
Generator ya ukubwa huo ni bei gani?
Asante ndg yngu kw mchanganuo mzr hata Mm nmetoka na kitu japo cjauliza swaliMkuu Mimi hii ni moja wapo ya biashara zangu
Ingawa kwa sasa natumia dish mbili tu
Dstv natumia extra view malipo laki moja na nusu
Na kingine hizi za ndani decoder ya Azam
TV ninazo flat mbili na projector moja
Na jenerator plus sabufa mbili basi
Bei star x mbili nilinunua laki Tisa kila moja 450000
Sabyfa mbili
Moja 200000
Nyingine 90000
Ving'amuzi Azam 145000+ ufundi 30000+malipo ya mwezi 15000
Dstv nilinunua 80000 + ufundi 30000
Kifurushi 150000 kwa mwezi
Ila kabla ya Dstv nilikuwa natumia receiver ya alphabox hii nilinunua 250000 pamoja na Vifaa + ufundi
Dish 200000
Basi
Na banda laki saba tu kulijenga
ILa usiogope anza na ulivyo navyo
Asante kwa ushauri wako mkuu. Bado napokea maoni, kweli la kwanza ni kuona kama nimeiga la pili naona kama anayekuja ana nguvu kubwa ya kiuchumi kunishinda la tatu ni kuhusu kuwa na wateja wachache.Kwamba uachane nao kwa kuhofia utaonekana umeiga au?
Endelea tu Mkuu na huo mpango muhimu kama hiyo sehemu umeiona potential kibiashara
Well mkuu kwenye ulimwengu wa biashara hakuna kitu kinachoitwa kuiga bali kuna ushindani wa kibiashara hiyo ndio challenge kuu kwenye kufanya business moja karibu au sehemu moja. Sababu probability of income assurance reduces.Kwamba uachane nao kwa kuhofia utaonekana umeiga au?
Endelea tu Mkuu na huo mpango muhimu kama hiyo sehemu umeiona potential kibiashara