Habari. Kuna ndugu yangu kaniomba nimfungulie banda la kuonyeshea mpira. sehemu ipo shida sijajua vipengele Muhimu vya kufata. mfano tv ziwe size ngapi na aina gani na kutokana na kukatikakati kwa umeme ninatakiwa kununua generator la ukubwa gani na mwenye kujua price anaweza akanisaidia ili niweze kutengeneza budget. Naomba mnisaidie najua huku jamii forum ni kisiwa cha wajuzi wa vitu mbali mbali. TV Ziwe za mtumba au new?