Dawa ya signal ni dish kubwa na orginal mi hapa natumia diplosat 8ft sikuwahi kuona bad signal kwa sport 24hdmimi natumia dstv na FTA lakini nimeona FTA kuna unafuu sana shida signal zake ila hapa napata info za android box tv hii nadhani ni suluhisho zaidi
unawekeza ili upate faida sio mgawane faida ndio yaliyopo kwenye dstv