financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Mkuu endelea kufungua biashara uliyopanga, boresha mazingira vizuri, usihofie ushindani upo hata ukienda sehemu nyingine, kuna watakaokufuata na kuiga unachofanya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipenda hiiKariakoo kila mtu ana duka la nguo na wote wanauza.
Uko sahihi mkuuFungua Banda wewe biashara ili iboreshwe lazima kuwe na ushindani
Du! Hii ni kali ila naweza weka binti mmoja ndie awe anasimamiafungua banda la mpira aaf weka madem wazuriii wawe wanakaribisha watu utakuja kunishukuru
Ni sahihi ngoja nijilipue tu mambo mengine tutajua huko mbele kwa mbele.na epuka hofu kariakoo kuna maduka mangapi ya simu bampa to bampa
Asante kwa ushauri, hebu weka na bei za hizo Tv mkuuCjui kama utanielewa lakini chukua hii ...anza biashara ila zingatia mazingira mazuri flat screen kubwa spika ya uhakika ukipata wa dada wazuri wawili itanogesha zaidi ... ukitaka ...TV BIG SREEN NJO KARIAKOO CLUB YA SIMBA HAPA NTAKUPA SUMU ZA KUTOSHA
Cjui kama utanielewa lakini chukua hii ...anza biashara ila zingatia mazingira mazuri flat screen kubwa spika ya uhakika ukipata wa dada wazuri wawili itanogesha zaidi ... ukitaka ...TV BIG SREEN NJO KARIAKOO CLUB YA SIMBA HAPA NTAKUPA SUMU ZA
Tv 43 ...bei 850,000Asante kwa ushauri, hebu weka na bei za hizo Tv mkuu
Epson ina resolution nzuri kuliko hio optoma.Mimi ninayo hii hapa "Optima" hebu nipe sifa za hio zinazoishinda hii.
Mpinzani wangu anategemea kuweka "50" inchi screen.
Naendelea kupokea maoni.View attachment 2303221