DOKEZO Biashara ya kuuza mwili imekithiri maeneo ya Singida MC (Mitaa ya Kirima), serikali ifanye kitu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
NAKAZIA

Hawa viumbe muhimu sana kwenye jamii, malaya wapewe haki zao
 
Eti "Jana nilibahatika kupita..."

Sasa mkuu, yani kupita tu hiyo mitaa ni bahati?

Nchi ngumu sana hii [emoji23][emoji23]
 
Sasa ukimpatin number si ndo atakuwa anajiachia kabisa mana anajua atakuw asumbuliwi
 
Nitafanya tena utalii eneo hilo la kirima ili kuzinguana na hao makahaba. Shida yao wapate nawaandalia buku mbilimbili kuwapa kama wakinizingira usiku huo ili nitoke salama ila kuwanyandua sitaki, maana hata ukitaka kuwanyandua hutafurahia penzi lao ni la kuharakishwa. Pale hata ukinywa viagra na vumbi la kongo unajisumbua bure hawataki shoo za muda mrefu. Pale uende ukiwa umesimamisha mti kabisa na dakika mbili ufike tamati usitake kuendelea raundi ya pili utailipia tena. Wana visa vingi sana hao makahaba ukiwaendea jipange sawasawa
 
Ndiyo nilikuwa namuuliza Kirima imetoka wapi Singida?
Kirima ni bar ya mchagga wa kibosho kirima.

Inshort ukiachilia mbali Rwezahura, Rhode.

karibu bar zingine zote hapo singida ni za wachagga wa kibosho mfano....Kirima kina massawe mbacho, Serengeti ya kina mmasy, Nyoka lounge ya kina Mwacha sijui, Star city ya Msele, kuna hii bar imefunguliwa kama unaenda mwenge ndani ndani nasikia ni ya Munishi, Stanley Mushi ana ile stanley motel na kama unaenda gineri kuna garden moja nzuri, MYK bar na Kisoka bar....

pia narina ni ya mchagga
Kilimanjaro bar ni ya mchagga wa rombo
Sky way pazuri sijajua ya kina nani 😅😅😅

Sijaleta ukabila lakini nisieleweke vibaya....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…