Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

Hivi mti mmoja wa mbao ukikomaa na umetunzwa vizuri inaweza kutoa mbao ngapi ya 6x2 nikipata hesabu hiyo basi naweza kuingia kwenye shughuli ya upandaji miti.
 
Tunauza mashine za kukatia nyasi/miti /kupalilia nakuchimbia mashimo . Wasiliana nasi na tutakualetea moja kwa moja kutoka chini. Ni Pm au tembelea kurasa zetu Facebook & Instagram thebridgetz na @thebridgegulio
 
Wazo zuri. Nilipita maeneo ya Sumbawanga hasa Wilaya ya Kalambo,nako kuna mashamba haya japo kwa uchache! Issue kubwa hapa uwe na eneo. Huwezi kukodi kwa vile ni zao la kudumu na la muda mrefu.
Sumbawanga mashamba unapata kwa bei gani kwa heka, na je aina gani ya miti inalimwa maeneo hayo.
 
Sumbawanga mashamba unapata kwa bei gani kwa heka , na je aina gani ya miti inalimwa maeneo hayo
Niliona mikaratusi mingi,imestawi sana. Kuhusu bei, sikufanya utafiti wa kutosha llabda niwasiliane na wadau wa huko nikujuze.
 
Mkuu tupo pamoja mimi pia nimekuwa nikipanda kila mwaka na January hii naenda kupanda tena huko Mufindi,wanaJF wahamasike ni uwekezaji muhimu wenye manufaa makubwa sana unawekeza mtaji mdogo kwa gharama ndogo unavuna kwa faida kubwa
 
Mheshimiwa Malila, naomba na mimi niunganishwe kwenye group hili angalau nijikite na mm kwenye biashara hii. Namba yangu ni 0784933374 au e mail address mayumbo2001@yahoo.com
 
Am speechless. Haya ndo mambo ya kufanya. Tukikalia kulalamika tutakufa tukilalamika.
 
Am speechless. Haya ndo mambo ya kufanya. Tukikalia kulalamika tutakufa tukilalamika.
Hivi wakuu vipi miti kama mninga, ule mti wa kutengenezea vinyago, sijui ndo mpingo sina uhakika. Hii miti ni ghali sana. Je inaweza kupandwa katika shamba binafsi?

Inakomaa baada ya muda gani?
 
Nawashukuru wakuu wote humu ndani kwa michango yenu! Mm nilianza kupanda mwaka Jana kwa kupanda heka 2 tu. Mwaka huu mpaka this December nimefanikiwa kupanda heka sita za pines maeneo ya mbozi. Nimepanga kudunduliza kwenye mshahara wangu kdogo kidogo ila kila mwaka nataka nipande at least 10 hectares.
 
Asante sana kwa taarifa njema. Nami baada ya kusoma kwa muda mrefu na kujitafakarisha nimeamua kuingia. ..mwezi February mwanzoni nategemea kwennda Njombe, nitapitia Mapanda (jirani na Mafinga) kwa ajili kununua shamba angalau eka 5.
 
Mie nataka kulima miti ya Mininga kwa ajiri ya mbao. Plz naombeni mwongozo. Je, miti hii itakua tayari kuvunwa baada ya muda gani? Na je, ni mikoa gani inafaa kwa kilimo hiki?
 
Mie nataka kulima miti ya Mininga kwa ajiri ya mbao. Plz naombeni mwongozo. Je, miti hii itakua tayari kuvunwa baada ya muda gani?na jee ni mikoa gani inafaa kwa kilimo hiki?

Sina uhakika sana lakini nimesikia kuwa mninga huchukua kama miaka 80 hivi.
 
U Naweza kunichek nikuunganishie mashamba.
 
Mkuu asante kwa taarifa. Tukihitaji mashamba huko Njombe waweza kutusaidia kuyapata? Ekari moja ni shilingi ngapi? Liwe pori la kuanza kufyeka mwenyewe.
 
Mkuu asante kwa taarifa. Tukihitaji mashamba huko Njombe waweza kutusaidia kuyapata? Ekari moja ni shilingi ngapi? Liwe pori la kuanza kufyeka mwenyewe.

Mimi kwa sasa siwezi kukusaidia ila wasiliana na Malila
 
Naombeni msaada juu ya hili,kwa wale wanaofanya biashara ya mbao au waliowahi kufanya biashara hii,naomba kujua changamoto zake na faida zake. Mtaji wake chini ni pesa ngapi, gharama ya kibali, na nikiwa mgeni katika soko nini kitatokea.

Asanteni.

Nawasilisha wakuu.

Sent from my Y3 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…