Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

Kuna ishu fulani hivi ikiwa inatokea mtu unaweza hisi tatizo ni switch ila actually motherboard ndo inakua na shida.

Yaani ukiwa unacheza utashangaa ghafla inazima, inablink kidogo rangi nyekundu na njano kisha inabaki kijani. Ukizima ile switch ya nyuma ukiwasha inawaka na unaweza kucheza hata siku nzima isifanye hivyo.

Hapo ni mwanzoni. Tatizo likikomaa utakuta inajizima frequently na style ya kujizima ni hiyo taa kublink. Tatizo hili linazikumba sana PS 3 Fat na Fat sehu ya switch ni ya ku-touch so it is unlikely switch kua mbovu.

Kama tatizo linafanania na nilichoandika hapa achana na hiyo PS kwakua kwanza utengenezaji wake utaliziba tatizo kwa labda miezi sita au zaidi kisha litaanza upya. Na ikifikia siku ikajizima na taa ikaganda kwenye rangi ya njano hiyo game ndiyo haiponi tena hata ufanyeje hiyo rangi inaitwa YLOD (Yellow Light Of Death)

So kujizima kunaweza kukutrick ukahisi labda ni switch ila actually ishu inakua siyo switch. Storage siyo tatizo as ukinunua hard drives (external) inakaa vizuri tu, utakua na gharama ya kuweka system na kuweka games.

Kwa Dar game za 3 ni 5000 ( Game moja) sijajua ulipo so yaweza kua chini zaidi au juu kidogo.

Ushauri wangu kama ni lazima ununue hiyo game, uliza kama ni fat au slim, akisema tu ni Fat temana nayo huna haja ya kujua huku mbele.

Ipi nzr kwenye ps kati ya fat n slim
 
Kuna ishu fulani hivi ikiwa inatokea mtu unaweza hisi tatizo ni switch ila actually motherboard ndo inakua na shida.

Yaani ukiwa unacheza utashangaa ghafla inazima, inablink kidogo rangi nyekundu na njano kisha inabaki kijani. Ukizima ile switch ya nyuma ukiwasha inawaka na unaweza kucheza hata siku nzima isifanye hivyo.

Hapo ni mwanzoni. Tatizo likikomaa utakuta inajizima frequently na style ya kujizima ni hiyo taa kublink. Tatizo hili linazikumba sana PS 3 Fat na Fat sehu ya switch ni ya ku-touch so it is unlikely switch kua mbovu.

Kama tatizo linafanania na nilichoandika hapa achana na hiyo PS kwakua kwanza utengenezaji wake utaliziba tatizo kwa labda miezi sita au zaidi kisha litaanza upya. Na ikifikia siku ikajizima na taa ikaganda kwenye rangi ya njano hiyo game ndiyo haiponi tena hata ufanyeje hiyo rangi inaitwa YLOD (Yellow Light Of Death)

So kujizima kunaweza kukutrick ukahisi labda ni switch ila actually ishu inakua siyo switch. Storage siyo tatizo as ukinunua hard drives (external) inakaa vizuri tu, utakua na gharama ya kuweka system na kuweka games.

Kwa Dar game za 3 ni 5000 ( Game moja) sijajua ulipo so yaweza kua chini zaidi au juu kidogo.

Ushauri wangu kama ni lazima ununue hiyo game, uliza kama ni fat au slim, akisema tu ni Fat temana nayo huna haja ya kujua huku mbele.
Mkuu shukran sana barikiwa
 
Nimeanza hii biashara ni wiki sasa, mwitikio bado sio mzuri nina Ps 4 moja tu na kahisense kangu inch 32.. siku ya kwanza nilipata 10,500 na siku ya pili nkapata 20,000... baada ya hapo ni 8,000 mara 10,000 mara 7,000 ila maisha yanaenda.

Nimenunua PS 4 na TV. Pia imebidi kujenga chumba kimoja hapa kwangu(Chumba sio fremu) so mteja anakuja kama anaingia chumbani tu kawaida.

Siku za kawaida nafungua saa kumi jioni na kufunga saa nne usiku maana na mimi nafanya kazi so mpaka nirudi job ndo nifungue. Siku za wikiendi saa moja asubuhi tu ni hodi hodi inabidi uamke.. hapo ndo pesa ipo unapata mpaka hizo 20.

Sijapata changamoto yoyote bado, ila nimejitahidi kuwamonitor watoto yaani mwenye pesa ndo anaingia ndani kama huna sepa ili wasijazane sana mpaka wazazi wao wakawa wanawakosa nyumbani. Nitarudi baada ya mwezi kuwapa mrejesho wanaotaka kuanza hii biasha

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Nimeanza hii biashara ni wiki sasa, mwitikio bado sio mzuri nina Ps 4 moja tu na kahisense kangu inch 32.. siku ya kwanza nilipata 10,500 na siku ya pili nkapata 20,000... baada ya hapo ni 8,000 mara 10,000 mara 7,000 ila maisha yanaenda.

Nimenunua PS 4 na TV. Pia imebidi kujenga chumba kimoja hapa kwangu(Chumba sio fremu) so mteja anakuja kama anaingia chumbani tu kawaida.

Siku za kawaida nafungua saa kumi jioni na kufunga saa nne usiku maana na mimi nafanya kazi so mpaka nirudi job ndo nifungue. Siku za wikiendi saa moja asubuhi tu ni hodi hodi inabidi uamke.. hapo ndo pesa ipo unapata mpaka hizo 20.

Sijapata changamoto yoyote bado, ila nimejitahidi kuwamonitor watoto yaani mwenye pesa ndo anaingia ndani kama huna sepa ili wasijazane sana mpaka wazazi wao wakawa wanawakosa nyumbani. Nitarudi baada ya mwezi kuwapa mrejesho wanaotaka kuanza hii biasha

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Nafanyaa hii pia inalipaa kwa sasa hivi likizo ya pasaka 30 ni ya kugusa tu siku za kawaida unaeza pata 10 15 sometimes ata 5000 tu ila ndio business
 
Laki mbili Na Tisini
Namba Yangu 0672883431
 

Attachments

  • 1650196637941.jpg
    1650196637941.jpg
    22 KB · Views: 76
Nahitaji kufunguaa hii biashara. Kwa mtu aliyefanya au aliye na uzoefu na hii biashara jinsi ya uendeshaji wake na faida yakee tafadhaliii naomba ushaurii wa hili.
Nawasilisha. [emoji871]
 
Back
Top Bottom