DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Milioni 2.5 kwa mwezi ni 30 kwa mwaka. Si haba kwa mtaji wa 30m.Bora uko kuna future mzee, ulikua unaeneo lako la kuuzia? Au ulikua unawapelekea wafanyabiashara?
Kilimo chetu ni mchezo wa kubetHajui tu,Mimi nililima viazi eka 3 Kwa laki gharama ya 500,000. Nikapata elfu 15,000.huwezi kuamini! Mvua ziliharibu viazi shambani,watu wanafikiria kulima ni rahisi hivyo.
Tani 30 ilikuwa inakuchukua muda gani kukusanya na kuuza?Ni kweli faida n ndogo sana kwa kwel.. nshawah fanya business ya mchele hii nilikuwa nasafirisha tani 30 .. mtaji zaid ya million 30 afu faida 2.5 million.. ni upuuzi kbsaa... hapo ume hustle kupata hizo tani 30 si mchezo afu faida 2.5 million kwa mwezi.. nimechana nayo saiv nataka niamie kwenye kuuza madini.. broker..
Endelea na biashara...usikate tamaa. Hata wenye sheli wauza mafuta wanachokusanya ni sh 20 au 30 kwa lita. Kwa kuwa mzunguko mkubwa na wanauza kwa wingi..hyohyo sh 20 hadi 30 wanazokusanya ndio tunawaita matajiri.Hii biashara ni nzuri na inatoka lakini bila kua mjanja mjanja basi kutoboa ni ngumu sana, zaidi ya kupata hela ya kula tu kwasababu faida yake kwa kila kilo ni tsh 50-100...haiwezi kuzidi hapo.
Nilikua na million 6 nikasema nikaangalie swala la mahindi, unaweza kujaza gari la tani 10, gunia 100, baada ya kufikisha sokoni ukapata faida ya laki 3, imagine fuso zima unapata faida ya laki 2-3 ni ndogo ukilinganisha na hustling huko vijijini porini mashambani inaweza kuchukua hata week 2, na ukifika sokoni kama huna sehemu ya kuuzia umpe mfanyabiashara kwa mkopo akiuza ndio akupe hela.
Kwenye maharage ni hivyo hivyo, unanunua gunia kwa 2500/= shambani/mnadani unakuja kuuza kwa 2600/=....imagine unanunua kilo 2000, ambayo ni kama 5,000,000/= alafu unaenda kuuza kwa 2600/= ambayo ni sawa na 5,200,000/=....
Investment ya million 5 upate laki mbili, million 10 upate laki 4, sasa hii biashara si pasua kichwa? Ingekua kwa mwezi unaenda safari 3/4 ingekuwa poa sana, lakini unajikuta kwa mwezi mpaka mzigo uishe unaenda mara moja tu,..
Lakini ukiwa na mzunguko mzuri na ukawa na eneo lako la kuuzia basi hii biashara utaipenda.
Yeah bado ni nyingi sana hata kama itachukua mwezi mmoja kumaliza stock.Mtaji wa M30 kwa faida ya M2.5 nisingeacha.Labda kama siyo faida.
Inategemea sometimes 2-3, weeks.. msimu wa mazao one week so Inategemea na wingiTani 30 ilikuwa inakuchukua muda gani kukusanya na kuuza?
Kwa wiki 3 bado inalipa ni biashara nzuriInategemea sometimes 2-3, weeks.. msimu wa mazao one week so Inategemea na wingi
Kaka mtaji more than 30 million faida Tzs 2.5 million per month.. kaka faida n ndogo compared to capital invested n hustling aiseee..Kwa wiki 3 bado inalipa ni biashara nzuri
Niliifanya pia ikanishinda back in 2015-2016. Niliona nahangaika sana na faida haba. Then unawapelekea wafanyabiashara wanakaa na mali wanakuja kulipa baadaye. Nikaachana nayo.Ni kweli faida n ndogo sana kwa kwel.. nshawah fanya business ya mchele hii nilikuwa nasafirisha tani 30 .. mtaji zaid ya million 30 afu faida 2.5 million.. ni upuuzi kbsaa... hapo ume hustle kupata hizo tani 30 si mchezo afu faida 2.5 million kwa mwezi.. nimechana nayo saiv nataka niamie kwenye kuuza madini.. broker..
Usemacho ni kweli, nina experience hiyo mzigo mkubwa faida ndogo, Hustle za kutosha.Hii biashara ni nzuri na inatoka lakini bila kua mjanja mjanja basi kutoboa ni ngumu sana, zaidi ya kupata hela ya kula tu kwasababu faida yake kwa kila kilo ni tsh 50-100...haiwezi kuzidi hapo.
Nilikua na million 6 nikasema nikaangalie swala la mahindi, unaweza kujaza gari la tani 10, gunia 100, baada ya kufikisha sokoni ukapata faida ya laki 3, imagine fuso zima unapata faida ya laki 2-3 ni ndogo ukilinganisha na hustling huko vijijini porini mashambani inaweza kuchukua hata week 2, na ukifika sokoni kama huna sehemu ya kuuzia umpe mfanyabiashara kwa mkopo akiuza ndio akupe hela.
Kwenye maharage ni hivyo hivyo, unanunua gunia kwa 2500/= shambani/mnadani unakuja kuuza kwa 2600/=....imagine unanunua kilo 2000, ambayo ni kama 5,000,000/= alafu unaenda kuuza kwa 2600/= ambayo ni sawa na 5,200,000/=....
Investment ya million 5 upate laki mbili, million 10 upate laki 4, sasa hii biashara si pasua kichwa? Ingekua kwa mwezi unaenda safari 3/4 ingekuwa poa sana, lakini unajikuta kwa mwezi mpaka mzigo uishe unaenda mara moja tu,..
Lakini ukiwa na mzunguko mzuri na ukawa na eneo lako la kuuzia basi hii biashara utaipenda.
Hata mimi nimeshangaa, mtaji 30m faida 2.5m analalamika...binafsi naona kwa nature ya biashara siku hizi hiyo faida ni sawa kabisa.Mtaji wa M30 kwa faida ya M2.5 nisingeacha.Labda kama siyo faida.
Malizia ukiwa na eneo la kuuzia unapataje? NapoHii biashara ni nzuri na inatoka lakini bila kua mjanja mjanja basi kutoboa ni ngumu sana, zaidi ya kupata hela ya kula tu kwasababu faida yake kwa kila kilo ni tsh 50-100...haiwezi kuzidi hapo.
Nilikua na million 6 nikasema nikaangalie swala la mahindi, unaweza kujaza gari la tani 10, gunia 100, baada ya kufikisha sokoni ukapata faida ya laki 3, imagine fuso zima unapata faida ya laki 2-3 ni ndogo ukilinganisha na hustling huko vijijini porini mashambani inaweza kuchukua hata week 2, na ukifika sokoni kama huna sehemu ya kuuzia umpe mfanyabiashara kwa mkopo akiuza ndio akupe hela.
Kwenye maharage ni hivyo hivyo, unanunua gunia kwa 2500/= shambani/mnadani unakuja kuuza kwa 2600/=....imagine unanunua kilo 2000, ambayo ni kama 5,000,000/= alafu unaenda kuuza kwa 2600/= ambayo ni sawa na 5,200,000/=....
Investment ya million 5 upate laki mbili, million 10 upate laki 4, sasa hii biashara si pasua kichwa? Ingekua kwa mwezi unaenda safari 3/4 ingekuwa poa sana, lakini unajikuta kwa mwezi mpaka mzigo uishe unaenda mara moja tu,..
Lakini ukiwa na mzunguko mzuri na ukawa na eneo lako la kuuzia basi hii biashara utaipenda.
Boss hiyo hela ni nyingi sana na hatari kuiweka kwenye kikapu kimoja,vipi likitokea la kutokea,ajali moto n.k au ndo mzigo hua unakua na bima?Hii biashara ni nzuri na inatoka lakini bila kua mjanja mjanja basi kutoboa ni ngumu sana, zaidi ya kupata hela ya kula tu kwasababu faida yake kwa kila kilo ni tsh 50-100...haiwezi kuzidi hapo.
Nilikua na million 6 nikasema nikaangalie swala la mahindi, unaweza kujaza gari la tani 10, gunia 100, baada ya kufikisha sokoni ukapata faida ya laki 3, imagine fuso zima unapata faida ya laki 2-3 ni ndogo ukilinganisha na hustling huko vijijini porini mashambani inaweza kuchukua hata week 2, na ukifika sokoni kama huna sehemu ya kuuzia umpe mfanyabiashara kwa mkopo akiuza ndio akupe hela.
Kwenye maharage ni hivyo hivyo, unanunua gunia kwa 2500/= shambani/mnadani unakuja kuuza kwa 2600/=....imagine unanunua kilo 2000, ambayo ni kama 5,000,000/= alafu unaenda kuuza kwa 2600/= ambayo ni sawa na 5,200,000/=....
Investment ya million 5 upate laki mbili, million 10 upate laki 4, sasa hii biashara si pasua kichwa? Ingekua kwa mwezi unaenda safari 3/4 ingekuwa poa sana, lakini unajikuta kwa mwezi mpaka mzigo uishe unaenda mara moja tu,..
Lakini ukiwa na mzunguko mzuri na ukawa na eneo lako la kuuzia basi hii biashara utaipenda.
Kwa kweli ni faida nzuri sana.Yeah bado ni nyingi sana hata kama itachukua mwezi mmoja kumaliza stock.
Ni biashara chache sana zenye uwezo wa kukupatia hii faida
It is almost 10%Kaka mtaji more than 30 million faida Tzs 2.5 million per month.. kaka faida n ndogo compared to capital invested n hustling aiseee..
Uko sahihi mimi nilifanya nikawa napata faida 500 mpaka 600 nimefanya kwa mwaka mmoja pekee na nilikua na mtu nasupply kwake sema mwisho kashtuka bei ila nimekacha nishapiga faida kama 40m. Inatosha sasa ila unatakiwa uwe mjanja aisee lasivyo unaweza kula hasara.Sijui wenzangu mnafanyaje biashara lakini biashara ya nafaka ina faida tena kubwa sana kwa upande mm natoa mchele Tabora napeleka dar na zenj sikosi faida ya kuanzia 300 per kilo tena mm nanunua mchele wala sio mpunga, nanunua sembe 850 per kilo na nauza 1200 per kilo na biashara inakwenda sasa sijui wenzangu mnakwama wapi.
Wengi kwenye Biashara wanahisi kuwa na mtaji mkubwa ndio kutoboa but uzoefu+ujanja+ubunifu lazima utoboe.
Mchele mzuri bei ni
1100 -1200 per KG
Usafiri Taboara to Dar ni Tsh 100 per KG
Mabega Tsh 7 per KG
Mambo mengine cost Tsh 100