Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

dah mkuu umetoa madini mpaka nimekubali jf kuna vichwa hatari . salute kwako
 
Na corona yote hii bado watu wanapakana majasho kweli?
 
Nimekua nae toka utotoni mpaka ndoa, alinizoea sana, nilikua nakata Week sipati haki yangu, nilikua loyal sana kwake ila alibadilika sana baadae.
We jamaa story yako inafanana sana na ya kwangu, yaani nachepuka tu kwa sababu home mambo hayaeleweki. Hapa natafuta mchepuko mzuri wa kumfanya nyumba ndogo kuliko kuhangaika na malaya.

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Kazi ipi hali simu zimerahisisha mtongozano.
kutongoza mpaka kuja kukubaliwa ni issue kubwa sana ni kupoteza muda.

Hela utaombwa na kutoa mpaka utakoma sasa yanini kuangaika kote uko nawakati lengo ni kuitafuta mbususu ambayo hata kwa malaya aso msumbufu naipata bila usumbufu.
 
kutongoza mpaka kuja kukubaliwa ni issue kubwa sana ni kupoteza muda.

Hela utaombwa na kutoa mpaka utakoma sasa yanini kuangaika kote uko nawakati lengo ni kuitafuta mbususu ambayo hata kwa malaya aso msumbufu naipata bila usumbufu.
Kutongoza ni gharama sana.kisha unachatishwa kama dogo. halafu ukinunua hata mkeo hapati bugudha. bora kununua
 
Hela hio ni nyingi Sana Ila mwisho wa siku wanabakia na umasikini mwingi. Kwasababu zinapatikana kirahisi hata hawawazi kabisa

Tatizo vichwa vitupu mkuu, hela wanaitafuna kizembe na wanashindwa kujiengeza
 
Waje na huku kwetu ukelewe tuwaonyeshe mziki kama hawatakimbia
 
Mwigulu ukatuletea tozo na kuna sehemu hukusanyi hata mia???? Rasmisha mzigo tuongeze mapato
 
Haya mliopajua hapo manzese tuelekezeni tukaweke kambi kabisaaaaaa
 
Ni hatari sana na wanaume wanaonunua wana roho ngumu na hawana kinyaa yaani unajua kabisa unaweza ukawa ni 13 hivi kwa siku hiyo na bado unaenda na wewe sehemu walipotoka wenzio🤔
Na nyie mnapodanga walipodanga wenzenu huwa hamuoni kinyaa?
 
Jina lako kama nyau aisee kumbe Nyaru😂😂 umekua mpoleee kweli mbususu ina nguvu🙌
Yaani Baby niite vyovyote raha tu!! wee! acha tu kwanza kabisa kubwa kulko!!

Mbususu bana! zinatuzaa jamani! mwee! tunapita pyuu! akibana tu hkn mtu hapo!

pili zina tulea kuliko chochote hapa Duniani jamani mwee!! yaani asinge kuwa mapenzi ya Mama Sijui ingekuwaje? sasa kale ka-upendo ka Mama bwana wee! mpaka naliaga! na nikiangalia kajicho kako hako?? mmm!...

Sasa Bila mbususu ndani kwako? yaani Me'' yeyote ni zero' unakuwa km jini, ndani ya nyumba uliyojenga mwenyewe ! kwanza hkn wa kukutembelea! mbali na mbususu, Mna tulisha, mnatuogesha, mnatupa bure jamani sasa hapo usinipige makofi kweli? ukinishindwa saana naondoka na suruali moja, ntajua hukoooooo mbereeeee!

Popote palee niliko pita!! Hasa!! Jeshini bwanae Mbususu zina heshimika jamani! Mwee! watake nini wale totoz!! Maafande wakorofi km kina afande Wawa! sijui kina Manyilizu wale! wananywea nyweee!!! km wamemwagiwa maji duuu! laiti mngejua mlivo bora! heee!

yaani hii hata kwa wanyama.......Mungu kweli fundi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…