bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Walipe Kodi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka paschal umenifanya niangue kicheko kikubwa mpaka watu wanashangaa hapa 😊😊🤣🤣😂😂Naunga mkono hoja, ni kweli kabisa, huduma hiyo ndio the oldest professional na the oldest business ambayo imeajiri watu wengi kuliko ajira nyingine zote!.
The fortunate ones wao bidhaa zao zimenunuliwa kwa bei ya jumla na mteja mmoja, hivyo kuitwa jina la heshima "wife", the unfortunate ones inawabidi kuuza rejareja kwa wateja tofauti tofauti.
P.
Mnunuzi nshafikaBiashara hufanywa na muuzaji na mnunuzi.
Yaan ww unae MTOA HUDUMA ya Kibiashara ambae unamtrust..umesahau pia kuna mashoga wengi kinoma noma wanawake, wanaouza nyuma ivi nayo ni biashara ya ngono, au tuiite biashara ya kunyeana, daah hata nilewe vipi sitaki malaya, ntarudi kwa wake zangu rasmi.
Hahahah Fungua wewe Mwanaume hilo DUKA uone linavyofilisika..Nikionaga tu mwanamke anamiliki duka la nguo au viatu najua tu ni muuzaji wa K.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwann?Nikionaga tu mwanamke anamiliki duka la nguo au viatu najua tu ni muuzaji wa K.
Sent using Jamii Forums mobile app
ufafanuzi plzHahahah Fungua wewe Mwanaume hilo DUKA uone linavyofilisika..
Ila wao walaaaa Duka Linazidi kukua. Kumbe ana vyanzo vya MAPATO vingine ambavyo ni PRIMARY ZAIDI
Umeandika nini hiki?Biashara ya zamani kuliko zote, hata kwenye biblia ipo hiyo.
Mtena walioandikqnbiblia wamule7husishq mpaka uzao wa Yesu kuwa ni wa kahaba aitwae Tamari.
Wazungu hao ni watu washenzi sana.
Lakini pia ndio biashara ambayo mganyabiashara ana uhakika WA kubaki na bidhaa yake baada ya kuiuza,tayari Kwa ajili ya Uzo lingineNa Ajira yake haina INTERVIEW wala ELIMU kuubwa sana.
Na ni Ajira ambayo haitozi kodi no "PAYE".
Na ni Ajira yenye uhakika wa MTEJA.
mimi nashugulika na business partner kwa njia ya mkataba wa mda mrefu, wale wa rejareja bila mkataba siwatakiYaan ww unae MTOA HUDUMA ya Kibiashara ambae unamtrust..
Ukipita mitaa ya manzese huko kuanzia Saa tatu usikuNimepita sehem nikaitwa Kaka twende tukatombane jamani utalipa guest 2000 mimi utanipa 3000.
Mimi: Sina hela dada asante!
Yeye: Kwani wewe una sh ngapi ongea usiogope.
Hapa ndipo tulipofikia wakuu.
Mshawahi kujiuliza kwann wanajiingiza kweny hizo biashara??TAKWIMU: Biashara ya NGONO ndio Biashara inayofanywa na WANAWAKE wengi zaidi.
Ndio ukweli,
Nimekuwa mtu wa kwenda katika maeneo ya starehe hasa katika mji wa DSM.
Katika Bar/Night Club hizo WANAWAKE ndio wengi
1> Wahudumu
2>Wanywaji
Hao wote wengi wao ni wafanyabiashara.
Sasa piga mahesabu kuna Bar na Clubs ngapi za starehe hapa DSM na zote zinafurika hawa Wadada.
Sijapigia hesabu CASINO's.
Sijapigia hesabu PUB's hizo ndio balaaa wale wamiliki wa PUB nyingi ni Wanawake unajua kwanini? Haya simalizii.
Wale WAKE za watu au Wanafunzi wa vyuo ndio wanaitumia sana hii, wengi wanatoa huduma remotely yaan bila kukutana na MTEJA.
Watauza Videos zao za Utupu,
Wataweka bei elekezi umpigie VIDEO CALL uone Utupu Live yaani Full HD.
Hiyo yote ni Biashara.
Sijaitaja ile style yao ya BIASHARA ya Waziwazi. Maana ktk kila mitaa iliyochangamka hao watu wapo na wanajulikana. Na BIASHARA zinapofanyika watu wanajua.
>> KUNA BIASHARA nyingine inafanyika huko ktk SALOONS.
Piga hesabu kuna Saloon ngapi za kiume Mjini zile zenye wadada..
>> BIASHARA nyingine katika MASSAGE centers.
Piga hesabu kuna vilinge vingapi vya Masaji.. naaaaam unaona BIASHARA inavyobeba hazina ya Dada zetu ee..
>> BIASHARA nyingine inafanyika INDIRECTLY
Hii sasa ni ya kiintelijensia zaidi, yaan Mwanamke anawaunga ktk Mahusiano wanaume zaidi ya watano na kuwatenga ktk makundi yafuatayo:
1> Kodi ya Nyumba na Chakula
2> OUTINGS na starehe
3> SIMU na Bundles
4> ADA (kama ni mwanachuo)
5> Mtaji wa Biashara (Mara nyingi wanajifichia ktk Nguo na Viatu ndio biashara zao pendwa, wengine vipodozi na perfumes)
Sasa nihitimishe.
Ukiangalia kwa jicho la KITAALAM utaona ktk asilimia 100% ya wanawake wote, basi asilimia 89% wapo ktk huu mfumo wa BIASHARA. Ni hatari.
Binafsi, napata Changamoto sana ktk upande wa kuchagua MWANAMKE hata wa kuwa nae ktk MAHUSIANO kutokana na mtindo huo wa BIASHARA.
NDIO maana nawasisitiza vijana hasa wa KIUME wawe makini. Na wasije wakatepeliwa na kitu kinachoitwa ______ simalizii.
Hujaelewa au kimekustuwa kwa kuwa hukukijuwa kabla?Umeandika nini hiki?
Wauzaji muulize Gentlemen_, mleta mada, ana uhodari na ujuzi huo mpaka akathubutu kuleta mada hapa.Mnunuzi nshafika
Hahahahaha,nimeipenda hiiNaunga mkono hoja, ni kweli kabisa, huduma hiyo ndio the oldest professional na the oldest business ambayo imeajiri watu wengi kuliko ajira nyingine zote!.
The fortunate ones wao bidhaa zao zimenunuliwa kwa bei ya jumla na mteja mmoja, hivyo kuitwa jina la heshima "wife", the unfortunate ones inawabidi kuuza rejareja kwa wateja tofauti tofauti.
P.
Hujanielewa? Narudia:Pascal Mayalla ameandika hapo juu kuwa...
Wanawake wote mnauza hata wewe yaani.
Amesema tofauti mliyo nayo;
1. Wanawake ambao hawajaolewa biashara yao ni reja reja sababu wanauza kwa wanaume tofauti tofauti.
2. Mlioolewa mnsuza jumla kwa mwanaume mmija.
JE ni sahihi?
Mjibu pasksli